PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

Sasa ubaya wa kununua code, Ni hauto jiongeza
Mfano JF , ingetakiwa iwe tayari na streaming site ndani au short videos hii ingeongeza traffic zaidi ya hapa.

JF sio forum tu ,
kutokana na visitor wake jinsi wanavyo itumia

Kwa hiyo ingetakiwa iwe Forum , Short video(Tiktok) na streaming (YouTube)

Pia kwenye swala la location - mtu akiwa Kenya au Uganda aone content za nchi yake
kitu unachotakiwa kujua ni kwamba JF sio technology company, ni media , kundi unalowaweka unakosea, wao ni media zaidi
 
Haya si mambo ya kubabaisha mkuu,haya ni masuala ya kitaalamu zaidi na ndo maana uzi wako haujafutwa.
Wewe ungeuliza ueleweshwe na si kushangaa.
 
Haya si mambo ya kubabaisha mkuu,haya ni masuala ya kitaalamu zaidi na ndo maana uzi wako haujafutwa.
Wewe ungeuliza ueleweshwe na si kushangaa.
Rudi kwenye nilichoandika mwanzo , kama hutokuta neno : kununua source code
Yawezekana wewe ndo hujui kinachoongelewa
 
JamiiForums iwe imekopiwa huko au vyovyote vile ila Mimi kama Balozi wao tukuka nasema ( nakuambia ) tutaendelea Kuupenda huu Mtandao mpaka pale Dunia itakapopinduka.

Long live JamiiForums Website

Long live JamiiForums Founder Maxence Melo

Long live Members wote wa JamiiForums
Tukuka kama bunjumbura 😅😅😅
 
Kwa tafsiri yako.

Nikimcheki Melo - huwa namwona kama role model wa Tech TZ.
Kwa sababu ameamua kutaka umaarufu kwa kupitia Tech -

Sasa akianza kutumia source code za mtu mwingine tena kwa 99%
Inasikitisha
Hata icons , layout vyote hajabadilisha - ka-upload source code kama ilivyo
We jamaa mshamba kweli kwa mfano wewe na mwenzio mmetengeneza website mbili tofauti ila mkatumia website builder apps moja mfano WordPress then mkainstall themes na plugins zinazofanana kwa website zenu zina dhumuni moja basi zitafanana tu.
 
We jamaa mshamba kweli kwa mfano wewe na mwenzio mmetengeneza website mbili tofauti ila mkatumia website builder apps moja mfano WordPress then mkainstall themes na plugins zinazofanana kwa website zenu zina dhumuni moja basi zitafanana tu.
Skia mjanja,
Hapa naongelea uongezaji wa vitu kwenye theme ulionunua
 
Rudi kwenye nilichoandika mwanzo , kama hutokuta neno : kununua source
Yawezekana wewe ndo hujui kinachoongelewa
Mimi kilochonipelekea kuandika vile ni yale maneno "mambo ya ku-copy na kupest" maana hapo baada ya kuuliza akaja tena na hayo.
So,nimeona ni kama hana uhakika na alichouliza
 
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA
Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com
Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script?
Kama ndiyo wapo wapi wasomi wa bongo?
Haya ya mambo za ku-copy na ku-paste sio mazuri kwa sababu mwisho wa siku unashindwa hata kuongeza feature ( unaishia ku-customize )
Ifike mahali Tanzania izalishe programmer watakaoshinda na watu kama wa Kenya , Vietnam , Russia , USA , India

View attachment 2585011

View attachment 2585012

View attachment 2585013
View attachment 2585015

View attachment 2585016
View attachment 2585018
If it's copy and paste what are you waiting to leave our beautiful forum?
Leave us please!.
 
Back
Top Bottom