wakati ule likiwa kwenye mabati mlisimanga leo limejengewa bado roho za kiafrika zinawajaa kuandika anyKaburi limejengewa nyumba
Walimu feki jamaa aliwatumbulia mbali, yani walio faulu wapo halafu nyinyi ma-failure ndo mfundishe watoto wetu? muwaambukize ujinga?Hakuna zawadi kubwa ambayo Mungu amewahi kuipatia Tanzania kama kutuondolea huu uchafu.Nakumbuka nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru huyu Mungu mkuu anaeishi na kutawala.
Kama alikuwa mkweli mbona alishindwa kumtumbua Bashite na cheti chake fake?Walimu feki jamaa aliwatumbulia mbali, yani walio faulu wapo halafu nyinyi ma-failure ndo mfundishe watoto wetu? muwaambukize ujinga?