TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,817
- 3,141
Hakika wonders shall never end.
Nchi ina watu wanafiki wa kiwango cha lami, hivi huyu Kinana amekwenda kufanya nini hapo kama siyo unafiki?
---
Leo tarehe 12 Disemba 2023, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana akiwa ameambatana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko wamezuru na kufanya sala kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli.
Nchi ina watu wanafiki wa kiwango cha lami, hivi huyu Kinana amekwenda kufanya nini hapo kama siyo unafiki?
---
Leo tarehe 12 Disemba 2023, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana akiwa ameambatana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko wamezuru na kufanya sala kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli.