Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,101
Hakuna zawadi kubwa ambayo Mungu amewahi kuipatia Tanzania kama kutuondolea huu uchafu.Nakumbuka nilitoa zawadi ya kuteketeza kumshukuru huyu Mungu mkuu anaeishi na kutawala.
Hakuna zawadi kubwa ambayo Mungu amewahi kuipatia Tanzania kama kutuondolea huu uchafu.Nakumbuka nilitoa zawadi ya kuteketeza kumshukuru huyu Mungu mkuu anaeishi na kutawala.
Mama yangu yupo hai kabisa anadundaKama alivyokufa mama yako!
Amelala hapo mwamba wa Africa tutakukumbuka daima milele,Acacia na barrick wanakukumbuka zaidi!
Ndani ya kaburi ni mifupa tuRais wa Uganda, Yoweri Museveni akitoa heshima mbele ya kaburi la Hayati Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, lililopo nyumbani kwake, Chato mkoani Geita leo Jumatatu. Magufuli alifariki dunia 17 Machi 2021, Dar es Salaam. https://t.co/vSvgBmNW1tView attachment 2027272
We jinga unafikiri hutakufa???Hakuna zawadi kubwa ambayo Mungu amewahi kuipatia Tanzania kama kutuondolea huu uchafu.Nakumbuka nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru huyu Mungu mkuu anaeishi na kutawala.
UnakanyagwaKuna watu hawaamini kama jamaa kafa,Mungu fundi,watu tuliogopa hata kupiga bia mchana kudadeki
Au Nyumba ndio imejengewa Kaburi.Kaburi limejengewa nyumba
Amelala hapo mwamba wa Africa tutakukumbuka daima milele,Acacia na barrick wanakukumbuka zaidi!
Kumbe bado anashughulikiwa wanaendelea kumpanua kama kawa!!??Mama yangu yupo hai kabisa anadunda
Ulimuuliza akakuambia anamuheshimu zaidi Magu kuliko Nyerere?Kaguta Museveni anapaswa amheshimu mwalimu zaidi huyo ndio aliwapa hifadhi enzi hizo hadi akasoma UDSM. Sio hao marafiki wa madeal na udikteta
Yule ni Kabudi Mwaluko ?Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akitoa heshima mbele ya kaburi la Hayati Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, lililopo nyumbani kwake, Chato mkoani Geita leo Jumatatu. Magufuli alifariki dunia 17 Machi 2021, Dar es Salaam. https://t.co/vSvgBmNW1tView attachment 2027272
Mugabe alibanwa kidogo ikafikia mpaka panadol kuipata uwe na bahati, polisi, wanajeshi wengi walivua magwanda na kukimbilia south Africa kwenda kuuza ma Apples, na wafanyakaz walikuwa Wana pokea mishaara kwenye viroba, akachapisha noti moja ya laki moja, halaf Una msifisia Mugabe?Mwamba wa Africa gani anayekimbia kuhudhuria mikutano ya kimataifa ??!!, mfano mkutano wa "UNGE"----- hukuwaona akina Mugabe walikuwa wakienda huko New york na wanawachapa za uso Mabeberu??!!, hao ndio miamba ya Africa.
Na wewe utajisikiaje kama kunamtu anatoa hiyo sadaka ya kuteketeza upoteze kazi au ufe kabisa? Unadhani watu wanakupenda kama unavyo cheka nao. Achana na binadamu mkuu,heshi na kumuabudu Mungu pekee,achana na maisha ya binadamu usije kujivunia dhambi bure.Hakuna zawadi kubwa ambayo Mungu amewahi kuipatia Tanzania kama kutuondolea huu uchafu.Nakumbuka nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru huyu Mungu mkuu anaeishi na kutawala.
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna kenge zimeona wivu marehemu kwenda kutembelewa.