Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
inabidi kafulila aongee vizuri apa na spika na naibu wake kuhusu ubunge wake.
ningependa kuona slaa akimsalimia JK.ndo mambo ya utaifa hayo
hapo ndipo utakapo mtaka mkuu wa kaya..
Ni kwasababu tuna akili fupi sana na ni wabinafsi, neways ngoja nipige kimya coz kuna msiba.kweli bongo kuna vumbi
hilo vumbi lote unataka avae suti na tai ili iweje?ccm mmelala sanaKwa mwendo huu Slaa hafai kuwa na nafasi kubwa kwenye serikali yetu.
Mtu asiyependa madiliko hafai. Inabidi ajifunze kubadilika na kuendana na mazingira.
Wanakwepana hao, lakini nadhani Dr. Slaa anajitahidi sana kumkwepa Kikwete kwa visingizio kadhaa vya kuwajibika, lakini ipo siku watake wasitake watashikana mikono tu na hapo picha zitapamba magazeti. Cha kumshauri Dr. Slaa ajitahidi kuwa flexable na kusamehe kwani haya yaliyotokea ni mambo ya kawaida katika ulingo wa masumbwi ya kisiasa.