Kwa mwendo huu Slaa hafai kuwa na nafasi kubwa kwenye serikali yetu.
Mtu asiyependa madiliko hafai. Inabidi ajifunze kubadilika na kuendana na mazingira.
may GOD rest his soul in peace.we believe that death is the perfection of life.she has paid her debt,we remain on trend.
Go to hell. Ningesema zaidi lakini tuko msibani.Kwa mwendo huu Slaa hafai kuwa na nafasi kubwa kwenye serikali yetu.
Mtu asiyependa madiliko hafai. Inabidi ajifunze kubadilika na kuendana na mazingira.
Yeyote aliyemsifia kikwete analazimika kujibu swali lifuatalo; UKIMKUTA SHETANI KANISANI UTASHANGILIA NA KUSHUHUDIA YA KUWA SHETANI AMEOKOKA, MAJARIBU KWISHNEHI??!!!!!!!!!!! R.I.P REGIA
Hivi yale magoma hua yanamsaidia nini maiti yanapopigwa msibani!? Naomba mwenye kujua aniambie tena kwa ushahidi kutoka katika maandiko matakatifu.
Go to hell. Ningesema zaidi lakini tuko msibani.
nimevutika sana na ushirikiano waliouonyesha viongozi wote wa vyamavya siasa na hii ni moja kati ya ishara kuwa Regina alikuwa ni kiungo muhimu kwa jamii. R.I.P Regina
Yeyote aliyemsifia kikwete analazimika kujibu swali lifuatalo; UKIMKUTA SHETANI KANISANI UTASHANGILIA NA KUSHUHUDIA YA KUWA SHETANI AMEOKOKA, MAJARIBU KWISHNEHI??!!!!!!!!!!! R.I.P REGIA