Picha: Rais Kikwete ashiriki maombolezo ya Regia Mtema

Kwa mwendo huu Slaa hafai kuwa na nafasi kubwa kwenye serikali yetu.
Mtu asiyependa madiliko hafai. Inabidi ajifunze kubadilika na kuendana na mazingira.

Rejao!
Rejao!

Nakuomba elimika Ndg yangu!

Hivi unawaza kwa kutumia kichwa kweli????

Tafakari kabla ya kuja humu jamvini!

Huu utumwa kwa huyu Ndg yetu Mi cjui itaisha lini!

Pole sana!!
 
Yote kwa yote anatimiza wajibu wake tu. Vingine tungemshangaa kama angeishia kutuma zile standard/cut & paste rambirambi za kuandikiwa.
 
Hivi yale magoma hua yanamsaidia nini maiti yanapopigwa msibani!? Naomba mwenye kujua aniambie tena kwa ushahidi kutoka katika maandiko matakatifu.
 
Kwa hilo Rais Kikwete chukua tano! Ni mwepesi wa kujumuika katika matukio kama haya ya misiba.
 
Kwa mwendo huu Slaa hafai kuwa na nafasi kubwa kwenye serikali yetu.
Mtu asiyependa madiliko hafai. Inabidi ajifunze kubadilika na kuendana na mazingira.
Go to hell. Ningesema zaidi lakini tuko msibani.
 
Yeyote aliyemsifia kikwete analazimika kujibu swali lifuatalo; UKIMKUTA SHETANI KANISANI UTASHANGILIA NA KUSHUHUDIA YA KUWA SHETANI AMEOKOKA, MAJARIBU KWISHNEHI??!!!!!!!!!!! R.I.P REGIA
 
Yeyote aliyemsifia kikwete analazimika kujibu swali lifuatalo; UKIMKUTA SHETANI KANISANI UTASHANGILIA NA KUSHUHUDIA YA KUWA SHETANI AMEOKOKA, MAJARIBU KWISHNEHI??!!!!!!!!!!! R.I.P REGIA

Sorry to say sorry, hatujafikia huko ambako mwenzetu umeshavuka uzio, sisi tupo pamoja na yaliyotokea ni ya kawaida kushirikiana katika kuomboleza na kuwatuliza wafiwa. Upande uliopo mwenzetu inatuwia vigumu kuchangamana nawe, bora urudi upande wtu tutakuwa kitu kimoja.
 
nimevutika sana na ushirikiano waliouonyesha viongozi wote wa vyamavya siasa na hii ni moja kati ya ishara kuwa Regina alikuwa ni kiungo muhimu kwa jamii. R.I.P Regina
 
Yeyote aliyemsifia kikwete analazimika kujibu swali lifuatalo; UKIMKUTA SHETANI KANISANI UTASHANGILIA NA KUSHUHUDIA YA KUWA SHETANI AMEOKOKA, MAJARIBU KWISHNEHI??!!!!!!!!!!! R.I.P REGIA

Amen. Nilikua najizuia kujibu kwaajili ya msiba lakini naona umesoma mawazo yangu. JK anatimiza wajibu tu, kama angekua ana-huruma sana watu wasingelala chini ma-hospitalini, wananchi wake wasingeshinda njaa; and the list goes on and on. Ivi kweli mtu unaweza kuwa na huruma ukaona wachache wanafaidika na maliasili za nchi, na majority wanateseka usichukue hatua yoyote? Worse enough unalala usingizi unaamka unaenda kuwatazama watu wale wale usoni, unawaeleza uongo ule ule over and over ? Aaah I am speechless jinsi tunaweza kutofautiana mitazamo. God help us! RIP Dada yetu Regia.

 
Back
Top Bottom