DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,686
sijui unazijua vizuri sale za jwtz au unaongea tu...kwa cc tunaojua hiyo sio sale ya jwtz.... Na siasa na ukombozi wa kweli hauji hivyo kwa kutafuta watu kuwavalisha kombati kutimiza maelngo ya kiasiasa ,....ukombozi w akweli uko moyoni na mapenzi na chama yako moyoni....
Naona umeshindwa kusoma na hata picha imekua shida basi kuwa mjuaji
Uniform ya mjeda huyu inatofauti gani na hizo nyingine tunaziona hapo za kitanzania.Sipendi tabia ya baadhi ya watanzania kwa kupenda kusema vitu vya kiongo, uzushi na kupachika maneno yasiyo husika wakati ukweli umesemwa mbele ya hadhara ambako kila mmoja anamuona.Hivi lini tutakuwa wakweli tuliondoe Taifa kwenye kuishi kwa kukwepesha ukweli.Uongo watu wengi wanaopenda kukwepesha maneno na kupandikiza vijisababu vya hovyo ili kujusfy matakwa yao ni dalili za U_o na U_zi ndio maana uwa wabishi kupindukia.Tena ungesema kuwa ni sale ya Jeshi uenda kutoka majeshi mengine ya kanda ya africa basi ungeleta maana
Uniform za JWTZ ambazo ndizo kijana huyo mpiganaji anaonekana kuzivaa,aachana na sale ambayo ni green iliyokolea kwenye combat.Hizi kombati zinautofauti gani na Combat alizovaa huyo kijana Mpiganaji.Unakwenda kutufananishia na Combat ya kimarekani.