unataka kusema polisi siyo ccm?Nadhani kakosea, askari wetu wote hawana chama, wao ni AGIP members i.e. Any Govt In Position
unataka kusema polisi siyo ccm?Nadhani kakosea, askari wetu wote hawana chama, wao ni AGIP members i.e. Any Govt In Position
Ndio maana ikasemwa "amejitoa muhanga." Unaelewa?kisheria baada ya kuanzishwa mfumo Wa vyama vingi wanajeshi hawaruhusiwi kujiunga Na chama chochote cha siasa.
Taarifa nikizonazo wanajeshi wengi wana kadi za ccm kwa sababu kuna muda klikuwa lazima kuwa Na kadi ya ccm Au umoja Wa vijana ili kupata ajira jeshini. Sijui Kama baada ya kuwa Na vyama vingi walinuang'anywa hizo kadi Au waliendelea kuzilipia Na kuwa wanachama kisiri siri Au walibaki Na kadi za ccm Kama souvenir.
Hata hivyo wanajeshi wanaruhisiwa kupiga kura hivyo lazima wawe Na mapenzi Na vyama
Magwanda ya kijeshi yanauzwa kila uchochoro wa mitumba! sasa gwanda hilo halinishangazi maana tangu turuhusu mitumba sio shida tena kujipatia gwanda la jeshi!
haruhusiwi kuwa na afiliation na chama chochote cha siasaKosa lake litakuwa lipi?
jeshi lina sheria, kanuni na taratibu zake! lets wait...........
Ikiwa anaachishwa kazi, haitakuwa kwasababu ana kosa, bali ni kwasababu utamaduni wetu huwa ni wa kuchukua hatua kwa kuangalia matokeo na sio chanzo kilichopelekea matukio hayo
jeshi lina sheria, kanuni na taratibu zake! lets wait...........
Kama kuna watu wenye akili finyu ni wewe,hujui kuvaa hizo nguo hapa Tz kama si askari ni kosa? Au nawe ni PM7? Sasa mnsubiri hadi mpinduliwe kama na wanajeshi wamechoka your days are numbered nyie nganganeni tu na Chadema wakati mambo yanavurugikaMagwanda ya kijeshi yanauzwa kila uchochoro wa mitumba! sasa gwanda hilo halinishangazi maana tangu turuhusu mitumba sio shida tena kujipatia gwanda la jeshi!
Yule polisi wa morogoro aliyegombea NEC CCM pale Dodoma laifukuzwa kazi,so mkaribishe ukikijua anakuja akiwa hana kazi.karibu sana kamanda!mbona kuna polisi alitaka kugombea NEC?
Hata shimbo alishiriki waziwazi mwaka 2010, kwa kutoa mkwala wakati wa uchaguziKushiriki siasa waziwazi na kama mtumishi wa umma.
Mkuu labda hiyo picha isimfikie baba nanihii, kwa visasi yule,sijui
Hizo nguo zinauzwa duka gani? Acha siasa za majitaka,ajitaje jina ili iweje? Wewe mbona umetumia ID?Hata hizo nguo zinapatikana hata kwenye maduka zinaendana na kombati.La kushangaza hakuna.Angejitaja jina hapo sawa.Siasa ndo hizo wazee.
Mbona uniform yenyewe haina "force number" kifuani na wala haina alama za Taifa letu juu ya bega? alizitoa au uniform feki?
Kosa lake litakuwa lipi?
Mkuu maisha ni magumu yaani wanajeshi wanatamani afadhali wawe wachimba msingi kuliko kutumikia jeshi..kuna polisi wengine ukiwaona hata mavazi yao utawahurumia...
Kosa lake litakuwa lipi?
Kwa maneno yoyote utakayotumia huwezi kupinga ukweli kuwa huu ni uthubutu wa hali ya juu, wewe naimani huwezi kujaribu alichofanya huyo jamaa. Usisahau pia kuna jinai kwa mtu asiye mwanajeshi kujifanya afisa wa jeshi, inamana km sio mwanajeshi, pia kathubutu kwa kujifanya afsa wa jeshi (kathubutu kuvunja sheria) bila uoga wowote katika kuonesha mapenzi kwa chama anachokiamin. Mbona viongozi wetu wa majeshi wanakanaga kuwa sio waumini wa ccm wakati ni wanachama damu wa ccm?? Huyu kadhubutu aisee!Magwanda ya kijeshi yanauzwa kila uchochoro wa mitumba! sasa gwanda hilo halinishangazi maana tangu turuhusu mitumba sio shida tena kujipatia gwanda la jeshi!