PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

Msimshabikie mwenzenu akifanyiwa court martial na kuondolewa jeshini muwe tayari kumpa ajira! Wanajeshi wakitaka siasa watoke jeshini kwanza ndio kanuni ilivyo.
 
BINAFSI KATIKA HILI SIUNGI MKONO ...HIZI SIO SIASA NA HUKANA NA HAKUNA DUNIANI KUWAHI KUTOKEA KITUKO CHA WANASIASA KUTAFUTA WATU KUWAVALISHA KOMBATI ZA JESHI KWA LENGO LA KUFANIKISHA MAMBO YAO YA KIASIA..NDO NAONA HAPA TZ... NA UKWELI UKO WAZI HASA HAWA VIONGOZI HAWA VIJANA WA CDM UKWELI NI HATARI WANAVURUGA NCHI WAZI WAZI... TUSHABIKIE LAKINI TUANGALIE NA UKWELI WA SWALA HILI NI HATARI SANA . MBOWE,SLAA ,MZEE MTEI VYEMA MKAANGALIA UPYA NJIA YA KUPATA MAFANIKIO KATIKA SIASA ZENU KAMA NI SAHIHI AU LA...
vp kuwaita wakurugenzi wa tanesco na tanroad kunadi sera za ccm ni dunia gani inaruhusu ichi kitu,
 
likelihood kuwa huyu sio mwanajeshi ila ni pandikizi ni kubwa,coz hiyo uniform haipo tena imebadilishwa,lkn kama ni mwanajeshi, kutokana na kiapo chake,na taratibu na masharti ya ajira ya jeshi,huyo hana kazi tena,,,,,pole yake kama alidhani ni mzaha na masihara ya kushabikia vitu asivyoelewa madhara yake.

What if Angepiga picha na Nepi, Chichidodo, Jangili, Nyoka wa Mdimu, Vijicent, Prince...wangemtimua?
 
Siyo siasa sema upinzani!

Jiulize ilikuwaje jenerali Mboma aligombea ubunge kwa ticketi ya CCM soon baada ya kustaafu.
Tena akijifia kuwa ni kada wa CCM wa siku nyingi toka enzi za TANU.
 
Ukombozi wa kweli hauwezi kuja kwa watu kuasi viapo vyao na kukiuka maadili ya kazi na sheria za kazi,ni hatari sana kushabikia hii hali,coz anaeshughulika na mapungufu yoyote ya serikali ni bunge na sio Jeshi,msitupeleke huko.Lema to me wewe ni hatari sana na angalia sana,sio kila mtu umtumie kufanikisha malengo yako kisiasa,makundi mengine yakitumika ni hatari sana.
Ukada wako sisi hatuhusu,mbona mnatumia viongozi na watumishi wengi tu wasiostahili,Tuambie akina Tibaigana wakati wanagombea ubunge huko Muleba baada ya kustafu Polisi lini alikuwa mwana CCM,Je na James Kombe kamanda wa Polisi huyu kila cheo cha ccm anakitaka japo wanaflush,Je na huyu Jenerali Mboma?,na MADC,MARC ?.kafie mbali
 
Siku njema huoneka asubuhi! na mwenye macho huwa haambiwi tazama! Ushauri wangu Hebu Chama kisome alama za nyakati ugumu wa maisha sio tuu kwa raia hata Wanajeshi wanalalamika sana! huyo ni mmoja tuu wapo wengine wengi tuu ambao bado hawajalipuka sipati picha siku wakilipuka sijui mtawaeleza nini zangu mnao wadanganya wananchi kwa kuleta hoja uchwara za kadi ya Dr kuwa ziwe za kitaifa. Safi sana kamanda kwa kuwa muwazi na kueleza hisia zako kwa taifa Hiyo ndio M4C LAZIMA KIELEWEKE...........
 
Mkuu Moshe Dayan

Kama jeshi letu linaamini na kusimamia hili, akina Shimbo wasingekuja na matamko kama yale mwaka 2010. That was too bad. Tamko lile, lilimpotezea credibility sana na , no woder, mkuu wake Mwamunyange kwa nafasi yake kama CDF hakutoka hadharani na kuyaongea yale.

Tusubiri; Tuone. Kuna mengi yatasemwa juu ya askari huyu:

1. Anatoka Kambi/Kikosi gani pale Monduli? SOFA, Mbuni au TMA?
2. Ilikuwaje akatoka kituo chake cha kazi, hadi kwenda Simanjiro? Mkoa (Arusha) na mkoa mwingine(Manyara)
3. Si mzoefu na mambo ya majeshi, sare za rangi zile tunazo au ni zile zenye kijani hivi? Au ni rangi ya tu ya kamera?
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwa maisha haya ukilipwa 300,000 utajiita unamaisha mazuri...
Sio kweli wanajeshi wana maisha mazuri sana kulinganisha na kada nyingine,, mikopo ,,mshahara,, hela ya chakula ,, wanaoishi nje ya kambi umeme maji bure,,achani unazi huyu. Kanyea debe tayari
 
Mwanachama wa CDM kavalishwa gwanda. Kwenye mitumba utapata kila kitu
 
Msimshabikie mwenzenu akifanyiwa court martial na kuondolewa jeshini muwe tayari kumpa ajira! Wanajeshi wakitaka siasa watoke jeshini kwanza ndio kanuni ilivyo.

Mbona Shimbo hakutoka? Mbona Kamuhanda hajatoka? Andengenya? Jack Zoka? Mahita?...Hizo sheria taratibu plus kanuni haziwahusu Viongozi?Wakufunzi wa Siasa Jeshini JK akiwa mmoja wao mbona hawakutimuliwa? Marekebisho ya kanuni taratibu na sheria yalifanyika lini jeshini?...
 
jibu swali...kosa lake litakuwa ni lipi?

kwanza nasikitika kwa tukio hili, mimi nilikuwa kwenye huu mkutano jana huyu mwanajeshi huwa anafundisha mgambo mjini mererani, jana wakati chadema wakifanya mkutano wa hadhara mwanajeshi huyo aliwaamuru mgambo wote waende kwenye mkutano kuwasikiliza wabunge wa chadema, kabla mwanajeshi huyu haja fikia uwamuzi huo, kuna haice moja ilikuja na makamanda kadhaa wa Chadema, akiwepo mpambe mmoja wa Millya, Oleleshwa alikwenda kuongea na huyu mwanajeshi huyo na ndo migambo wakapewa amri ya kwenda kwenye mkutano, bado niko hapa Mererani nafanya uchunguzi wa kina na nimesha gundua kuwa, Lema, Nassari, Heche wakishirikiana na Millya wanatengeneza Jeshi na watatumia msitu wa Komolo wilayani simanjiro, mtu anayeratibu mafunzo ya wa wanajeshi hao wanafundishwa kwa mwamvuli wa mgambo ni mzee mmoja anaitwa Peter Peshut akishirikiana na Oleleshwa, kwa ufadhili wa kamanda Ndesamburo na Mbowe, naendelea na ufafiti na kuna taarifa kuwa gideon Sanago naye yuko hapa Mererani akiendelea kuwashawishi Apolo wajiunge na jeshi la kina Lema.
 
ukweli gani unataka ni mwanajeshi kutoka monduli sasa unataka nini tena kutoka jwtz mbona yule polisi alietaka kugombea unec magamba hamkufatilia details zake kwa IGP MWEMA mwacheni yeye na maisha yake na huu ni mfano tu kwanza unatakiwa kujua kua maaskari wengi hasa jwtz na polisi wanatoka ktk mikoa ambayo ccm mara nyingi haifui dafu mf MBEYA, MARA, ARUSHA, KILIMANJARO, MANYARA n.k fanya utafiti na utakubaliana mimi kwaio sishangai ,pia jiulize kwann afanye hivo ktk kipindi hiki cha awamu ya nne FREEDOM IS COMING IN BONGO LAND AND LET IT RINGS IN EVERY WHERE.
 
hoya unauliza majibu ya nanii ino ya wakati umeshika mkia wake!! Mwanajeshi kesha tamka wazi kuwa yuko tyari kufukuzwa hana cha kupoteza!!!mtu akishakuwa kwenye pointi hiyo unategemea.

Halafu kama uwezi kusoma maandishi kibe hata picha uoni,yani unayaona hayo magwanda ni ya jeshi la kimarekani!!hivi kwanini uwa mnawapotosha watu wa serikali ya jmt kwa kuwavisha na story za kipuuzi eti "au kavaliwashwa magwanda na ukiangalia pia magwanda yake ni tofauti na ya jwtz, ni ya jeshi la marekeani.".kwanini usione katika picha na kujenga dot kuwa ni mmoja wa wana usalama wetu lakini aliyefika mwisho katika maamuzi yake ukizingatia kuwa ni kijana kwa sasa hana cha kupoteza.

Wapo walio acha jeshi wakaenda kuwa wasanii wa muziki kama wakina ......wa wanaume family,ni uamuzi wa ujana kwa mujibu wa jinsi anavyo ona yeye.ila kwa kuwa huyu ni wa kisiasa basi kidogo yeye unamuangalia kwa jicho,kuwa nini kimemfikisha kwenye uamuzi huo je ni mwajili wake serikali ya jmt imeshindwa kumtimizia ujira wake na doto zake azioni kuwa zitatimia hivyo ameamua kujiunga na cdm ili kutafuta ndoto yake hiyo,ambayo ni haki yake ya msingi pia,ila kwa kuwa akichagua kukaa huko basi inabidi kuvua gwanda hilo la jmt,na kuonyesha kuwa yuko tayari kwa hilo kasema yeye hana shaka yuko tayari kwa hilo,muda wowote mwajili wake akisema imetosha aludishe combat hiyo.

Kijana kasema kazi iko kwa jwtz kujipima je ni wangapi watamfuata kijana mwenzao huko kama anayoyatafuta anayaona ni genuine kwanini na wenzie wasiyaone kuwa ni genuine vile vile.

sijui unazijua vizuri sale za jwtz au unaongea tu...kwa cc tunaojua hiyo sio sale ya jwtz.... Na siasa na ukombozi wa kweli hauji hivyo kwa kutafuta watu kuwavalisha kombati kutimiza maelngo ya kiasiasa ,....ukombozi w akweli uko moyoni na mapenzi na chama yako moyoni....
 
Sheria ya majeshi dunia nzima hawafungamani na siasa ..... Na kama ikatambulika kama si askari shahidi namba moja atakuwa lema na wenzake .... Pia kuvaa sale za jeshi iwe la tz au nje ya nchi pia ni kosa... Na kwa akili ya kawaida hakuna askari mwenye akili kama hizo akatokeza mbele hivyo na magwanda ya jeshi ...
Ndugu si kweli kabisa unachokisema, kwa mfano
1/Kuna nchi nyingi sana wanasiasa karibu wote ni wanajeshi(eg.Iraq, Afghanstan, Syria, DRC, Somalia, Sudan, Cuba, Iran, Rwanda nk)

2/Sheria za Tanzania haziruhusu kuvaa mavazi ya jeshi la Tanzania tu kwa raia na wala sio za majeshi ya nchi zingine.

3/Kama askari wetu wa JWTZ wanajitokeza na sare za jeshi kwenye vilabu vya gongo, mitaani kupiga raia, Bar wakilewa na kuchukua malaya kwa nguvu, madangulo kufanya ngono, sembuse kupiga picha na wabunge wa Tanzania.

Try to think big!!
 
Back
Top Bottom