PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

Magwanda ya kijeshi yanauzwa kila uchochoro wa mitumba! sasa gwanda hilo halinishangazi maana tangu turuhusu mitumba sio shida tena kujipatia gwanda la jeshi!
Wala huo siyo mtumba ndugu yangu. Ukivaa hiyo nguo you know when what you are looking at is mtumba or not. Ila inawezakuwa aliyevaa nguo hizo siyo mwanajeshi pia. But vyovyote vile meseji inayotolewa naikubali
 
Magwanda ya kijeshi yanauzwa kila uchochoro wa mitumba! sasa gwanda hilo halinishangazi maana tangu turuhusu mitumba sio shida tena kujipatia gwanda la jeshi!

Mama yanauzwa kwlei lakini umeona mtu anavaa hadharani. harafu upate kofia kiatu suruari koti ah acha utani mama mwangalie vizuri mi naona huyu jamaa ameonyesha njia yaleyale ya Misri. wenzetu hawa makambini wanumia ila nidhamu ya jeshi
 
Magwanda ya kijeshi yanauzwa kila uchochoro wa mitumba! sasa gwanda hilo halinishangazi maana tangu turuhusu mitumba sio shida tena kujipatia gwanda la jeshi!

Wewe nenda kanunue mtumban halafu uvae uone kitakachokukumba.
 
Magwanda ya kijeshi yanauzwa kila uchochoro wa mitumba! sasa gwanda hilo halinishangazi maana tangu turuhusu mitumba sio shida tena kujipatia gwanda la jeshi!
Dada yangu naona unajidanganya,uonanyo ndiyo hali halisi iliyopo,amini usiamini!
 
Mkuu mimi sioni kosa lake na kama kuna mtu anaona kosa lake alibainishe kisheria. na ndio maana hata wao huruhusiwa kupiga kura. Tukio hili ni moja kati ya hamasisho kubwa kwa wenzake. Hapa ni sawa na ile kauli mbiu ya "serikali haina dini" lakini je ni kweli kuwa raia zake nao hawana dini?

Kosa lake litakuwa lipi?
 
Haya bwana!mambo juu ya mambo,more to follow..
 
Magwanda ya kijeshi yanauzwa kila uchochoro wa mitumba! sasa gwanda hilo halinishangazi maana tangu turuhusu mitumba sio shida tena kujipatia gwanda la jeshi!

Utajichosha bure TOMASO, huyo ni mwanajeshi. Hata yeye anaona maisha magumu kwa hiyo hakuna haja ya kuisingizia mitumba. Zipo nguo kama fulana na bukta za jeshi lakini sio gwanda lote full.
 
Yasifike tu kwa M23 maana watakaoumia sio mimi au wewe ni mtoto wako na mama yako utajisikiaje kuona mama yako akibakwa na kijana mwenzako (muasi)
 
mbona watumishi karibia wote watamani mabadiliko? unacheza na maisha wewe.
 
Mkuu mimi sioni kosa lake na kama kuna mtu anaona kosa lake alibainishe kisheria. na ndio maana hata wao huruhusiwa kupiga kura. Tukio hili ni moja kati ya hamasisho kubwa kwa wenzake. Hapa ni sawa na ile kauli mbiu ya "serikali haina dini" lakini je ni kweli kuwa raia zake nao hawana dini?


Thanda kupiga kura wanaruhusiwa lakini kujihusisha na chama au vyama vya siasa hawaruhusiwi,,,,
 
Last edited by a moderator:
Ikiwa anaachishwa kazi, haitakuwa kwasababu ana kosa, bali ni kwasababu utamaduni wetu huwa ni wa kuchukua hatua kwa kuangalia matokeo na sio chanzo kilichopelekea matukio hayo
 
Back
Top Bottom