kwanza nasikitika kwa tukio hili, mimi nilikuwa kwenye huu mkutano jana huyu mwanajeshi huwa anafundisha mgambo mjini mererani, jana wakati chadema wakifanya mkutano wa hadhara mwanajeshi huyo aliwaamuru mgambo wote waende kwenye mkutano kuwasikiliza wabunge wa chadema, kabla mwanajeshi huyu haja fikia uwamuzi huo, kuna haice moja ilikuja na makamanda kadhaa wa chadema, akiwepo mpambe mmoja wa millya, oleleshwa alikwenda kuongea na huyu mwanajeshi huyo na ndo migambo wakapewa amri ya kwenda kwenye mkutano, bado niko hapa mererani nafanya uchunguzi wa kina na nimesha gundua kuwa, lema, nassari, heche wakishirikiana na millya wanatengeneza jeshi na watatumia msitu wa komolo wilayani simanjiro, mtu anayeratibu mafunzo ya wa wanajeshi hao wanafundishwa kwa mwamvuli wa mgambo ni mzee mmoja anaitwa peter peshut akishirikiana na oleleshwa, kwa ufadhili wa kamanda ndesamburo na mbowe, naendelea na ufafiti na kuna taarifa kuwa gideon sanago naye yuko hapa mererani akiendelea kuwashawishi apolo wajiunge na jeshi la kina lema.