Mkuu nafikiri hii ni njia ya kutuhadaa, huku hali Chadema wametumia nafasi hii kutuonyesha Jezi yao ya msituni watakayotumia 2015 kama Lema alivyokwisha sema Bunda. Kama hali ni kama hii basi Wadema wameingia choo cha kike, kwani naamini wananchi waliokuwepo kwenye mkutano walishuhudia uozo wote na kupemvua pumba na mchele. Najua si wote waliokuwa wamelala. Je kama ni kweli Chadema wanataka kutuambia kuwa wao na Jeshi ni kitu kimoja? Kama ndivyo wafanye mapinduzi sasa, au wanasubili nini? haingii akilini hata kwa mtoto wa chekechea. Poleni kwa kujizalilisha