PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

safi sana afande hata mwenzako mmoja pale kihesa iringa alirudisha kadi hadharani mbele ya akina bananga na kusema yupo tayari kuuawa.
 
Mbona yule shoga yake JK aliliyekua anaiba hela za malipo ya askari wa chini aliyejipa usemaji wa jeshi wakati wa uchaguzi wa 2010 hamjamshangaa. Mbona wakima Mwema wanavyoua watu kwa kuitetea CCM hamuwasemi, au kwa kuwa huyu ni askari wa chini?
 
Mwanajeshi mmoja ameamua kujitoa mhanga na yuko tayari kufukuzwa kwaajili ya CHADEMA maana amechoshwa na maisha magumu ya kwake binafsi na ndugu zake...
View attachment 76434
Lema, Nassari na mwanajeshi aliyeamua kusema yupo tayari kufukuzwa kwa ajili ya CDM LEO kwenye mkutano Mererani

More pics..

Mkuu nafikiri hii ni njia ya kutuhadaa, huku hali Chadema wametumia nafasi hii kutuonyesha Jezi yao ya msituni watakayotumia 2015 kama Lema alivyokwisha sema Bunda. Kama hali ni kama hii basi Wadema wameingia choo cha kike, kwani naamini wananchi waliokuwepo kwenye mkutano walishuhudia uozo wote na kupemvua pumba na mchele. Najua si wote waliokuwa wamelala. Je kama ni kweli Chadema wanataka kutuambia kuwa wao na Jeshi ni kitu kimoja? Kama ndivyo wafanye mapinduzi sasa, au wanasubili nini? haingii akilini hata kwa mtoto wa chekechea. Poleni kwa kujizalilisha
 
Tunasubiri wachoke hat 20 wanatosha kubadili upepo wa Tanzania
Mwanajeshi mmoja ameamua kujitoa mhanga na yuko tayari kufukuzwa kwaajili ya CHADEMA maana amechoshwa na maisha magumu ya kwake binafsi na ndugu zake... View attachment 76434 Lema, Nassari na mwanajeshi aliyeamua kusema yupo tayari kufukuzwa kwa ajili ya CDM LEO kwenye mkutano Mererani More pics..
 
Wakipatikana wengine 20 Tanzania hii wa kujitoa mhanga kama huyu heshima Itarudi.
 
Wakipatikana wengine 20 Tanzania hii wa kujitoa mhanga kama huyu heshima Itarudi.

afsa wapo wengi sana tena kwa maelfu ila walichokosa ni ujasiri ambao ndio uhalisia wa mwanajeshi, awe wa kiume ama wa kike!
 
Last edited by a moderator:
Nahic huyo mwanajeshi ni tahira wa madawa ya kulevya na uchaga unamsumbuwa sio kila mwanajeshi ana akili timamu

Amakweli what makes Tommy happy is not so to Jerry...!!!
 
Inazuiliwa kijeshi ila sasa wakubwa wakistaafu mbona huwa wanagombea kupitia ccm? kwanini wasifuatiliwe waonyeshe hizo kadi wamezipata lini?!! bora huyu jamaa kajitokeza wazi wazi maana hajataka unafiki kama wtz wengi walivyo
 
He is an hero! Najua wapo wengi so we don't need to worry so long as this is peacefully done.
 
hakika picha hizo, zinatoa taswira nyingi kwa wananchi na CDM , kwa ujumla wake, hivi kweli mh ZZK anaweza akafanya vitendo hivyo. hivi unategemea ukimuuliza ZZK juu ya picha hizo au vitendo hivyo atasema nini? kuna tofauti kubwa ya kiuongozi kati ya viongozi na viongozi ndani ya CDM. mh NASSARI unadhani ni sifa hiyo? mh LEMA unadhani ni jambo jema hilo? nawewe mwingine mpenda sifa unadhani ni sawa kabisa hapo. nawe mjeshi vua gwanda kwanza kisha jiunge na CDM.vinginevyo jani maana hata ile mguu upande uliosimama si ya kiaskari imekaa ki-msokoto zaidi

Ni kweli mkuu,nilitilia SHAKA UKAKAMAVU WAKE! Huyu ni sanaa au INTERAHAMWE nini? kama si M23
 
afsa wapo wengi sana tena kwa maelfu ila walichokosa ni ujasiri ambao ndio uhalisia wa mwanajeshi, awe wa kiume ama wa kike!

Kwa taarifa yako HAKUNA MWANAJESHI AMBAYE SI JASIRI!
 
Last edited by a moderator:
huyu si mjeshi na kama si mjeshi akijulikana kimavi kwanaa gwanda za zaman ya JWTZ na amevaa tofaut juu na chini pili ajibu kazitoa wapi,na kama akiwa mjeshi sheria haimruhusu kujiengage na siasa so kimavi anacho kama kakubali kununliwa atajuta amesahau siasa kama ndizi mbivu
 
Tutaskia kama ni kweli au uhuni.ila kama kweli jamaa ajiandae kutafuta kazi nyingine si jeshi tena.
 
Kwa taarifa yako HAKUNA MWANAJESHI AMBAYE SI JASIRI!
jamaa bado wanabisha hilo?tena hao wa chini ndio wanafundishwa kutojali uhai wao kama wanavyojali malengo ya jeshi na watawala.Wakati wanajeshi wakubwa wanafundihwa kuogopa kufa wakiaminishwa kuwa wao ndio watu wa mipango na wamesomewah kwa gharama kubwa.Hawa kufundiwa kulindwa.
 
Nadhani tatizo hapo ni ile jezi ya jeshi,kwani kunawanajeshi wangapi ktk mikutano ya kisasa wanaokwenda na kusikiliza? Na kikawaida huwezi zuia hisia ya mtu,ile ni hisia na ameona ni bola iwe wazi,sasa jiulize vipi kuhusu hao wasiosema,hao wasioweka hisia zao wazi?
Ni kweli ni kosa kwa mwanajeshi kuonyesha hisia zake za kisiasa tena akiwa kavaa gwanda,lakini kwa huyu imefikia kikomo cha uvumilivu,hawezi tena vumilia na kama angekwenda bila gwanda labda hata hiyo nafasi ya kumgusa lema asingepata,sasa kwakuwa ameipata kwa kupitia magwanda ya kijeshi basi hakuwa na budi ya kuendelea kuficha hisia zake na ndivyo ilivyo hata huko makambini
 
tuko wengi sana huyo ni mmoja wetu mbona hat humu JF tumejaa.tunajulikana hata mtaani msihofu tunangoja wamfukuze muone.
 
hata daffur hupelekana kwaku juana wengine tunasota hapa kwa bi mkubwa uchaguzi ukikaribia mkopo yakumwaga
 
Back
Top Bottom