PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

Kama siyo kukanusha kwamba huyo siyo mwana jwtz, maagizo yatatolewa auwawe au awe mentally disturbed ONLY for the survival of the ruling party at any cost.
 
Mimi nawatahadharisha ndiyo amekuja anatupa umaarufu lakini doubt every thing maana anaweza akatumwa na wahasimu awe karibu na nyinyi mumuone mwenzenu mpumbazike naye mkishasahau siku amewazoea kitaingia kikosi na silaha kwenye mikutano au ofisi kinawapiga mabomu wale machachari au mnapigwa mizinga mnakufa mnashangaa viongozi wazuri wanapotea kuja kuwapika wengine na kusimama wenzetu wako mbali. Nashauri usalama wa Taifa wa chama uwe na Tahadhari na kuchunguza mambo wakati wowote hata kina Shibuda tuliwaleta kwa mbwembwe wamegeuka mzigo. Mimi nafurahi kwa mawanajeshi kuingia kwenye vuguvugu lakini tuujue ukweli wake na ukweli wa mambo yenyewe maana wenzetu wanajua kucheza dili kama hizo

This is an intelligent warning. Rwakatare chukua hiyo na ifanyie kazi haraka.
Huyo mtu asikaribishwe kabisa karibu na nyaraka ama kwenye anga za usalama wa viongozi. HUYO NI DUBE WA MORINGE.
 
Kosa lake litakuwa lipi?
Mkuu CCm ni kundi la psychopaths.Kosa ambalo CDM wnatumia kuwatuhumu polisi na akina shimbo halafu CCM hawaoni kuwa ni kosa ndilo watalomhusisha nalo, Pia jeshi litamwadabisha kwa kutumia uniform.

Ila anaweza washikia chini kwa kutohoa jukumu la kulinda nchi popote ndani ya mipaka pamoja na mipaka, na anweza sema hapakuwepo n apolisi wa kutosha kw aulinzi wa wale raia na kitendo chochote cha wale rais kutokuwa salama kingeweza pelekea hasir anchini nzima na nchi ingeweza kuchafuka.

Na kupiga kwake picture na wana CDM ni kwamba Wananachi walipenda sana jeshi lao kwa jinsi alivyoliwakilisha jeshi vyema.Wakimletea zaidi basi anaweza wasikia chini zaidi kwa kuwakubusha kazi za jeshi ,kipindi nchi ikiwa haipo ktk vita.Nyingi ni za kusaidia raia.
 
Kama siyo kukanusha kwamba huyo siyo mwana jwtz, maagizo yatatolewa auwawe au awe mentally disturbed ONLY for the survival of the ruling party at any cost.
Teh teh..hizo sababu kama za Taliban wa afghanistan, na pakistani mara watu wao wanapoachana na uislama halafu wakapata kinga ya kimataiafa.Huishia kuwaita vichaa ili wengine wasianze kumwafuta kw akasi ambayo talibani wanahisi itakuwa avalance.. Hata "Son of hamas aliitwa kichaa".
 
kisheria mtu wa chombo cha ulinzi na usalama hapaswi KUJIHUSISHA NA MASUALA YA VYMA,HAPASWI KUSHABIKIA CHAMA AU KUWA MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE

Hivi unawezaje kupiga kura bila kuwa mwanachama? kilichokatazwa kwa watu hawa ni kushiriki active politics kama alivyofanya huyu jamaa lakini watumishi wote wa majeshi wana vyama vyao mioyoni mwao na kwa tarifa yako askari wengi wa kada ya chini ni wapenda mabadiliko hawana imani na serikali ya magamba.

 
hii full kujilipua tena hadharani. kamanda ana moyo mgumu zaidi ya mwendazimu . hongera kamanda.
 
Hairuhusiwi comrade, ipo wazi kwenye "volumes", ingawa una haki ya kupiga kura, huruhusiwi kushiriki siasa kwa kuwa mwanachama wa chama chochote, kupigia kampeni chama chochote na hasahasa kwenda kwenye mkutano wa kisiasa na mavazi ya kijeshi.., hii ni miongozo ipo kwenye vitabu,

kama mtu atafanya lolote kupingana na hiyo miongozo anachukuliwa hatua.haijalishi ni ccm au cdm, hayo ni makosa.na kama ni mwanajeshi kweli, trust me, leo haiishi huyo jamaa tayari atakua ameshaandika maelezo mengi sana kujieleza kwanini asichukuliwe hatua za kinidhamu.

Ikumbukwe, maana ya kuwekwa miongozo ya namna hii ni kwamba jeshi halina chama, jeshi linawajibika kwa amiri jeshi mkuu aliyechaguliwa na wananchi bila kujali chama.na ndio maana halisi ya miongozo ya namna hiyo.

Bottom line ni makosa hayo haijalishi imefanywa na nani kwa chama gani.

Like like!!
 
Msimshabikie mwenzenu akifanyiwa court martial na kuondolewa jeshini muwe tayari kumpa ajira! Wanajeshi wakitaka siasa watoke jeshini kwanza ndio kanuni ilivyo.

.
Mkuu MMJ hawa majeshi wanafuata tabia ya mnadhamu wao mkuu Abdulirahim Shimbo kabla ya kustaafu alikuwa front kufanya siasa.
.
 
Kama siyo kukanusha kwamba huyo siyo mwana jwtz, maagizo yatatolewa auwawe au awe mentally disturbed ONLY for the survival of the ruling party at any cost.
watafanyiwa wangapi hayo unayohubiri?
Fedha za darfur mnazila unategemea wataendelea kuwatii?
 
As much as I believe in freedom of expression, I see much sense in the separation of the military from active politics.

Just think of a politicized military, you divide the military along party lines then what you end up with is a CHADEMA military and a CCM military. Taking just these two as an example.

The next logical step is a combustive atmosphere which will naturally lead to civil war. Chaos.

Not a good look.

CHADEMA wanachemsha. You can't fault the lack of leadership in CCM by a chicanery that descends even lower in the rungs of mediocre stunts.

Watu serious watahoji, is CHADEMA ready? Hamjapata dola mshaanza kutuonyesha migwanda, mkipata dola je?

This was a cavalier chicanery of colossal consequences for those with coolheaded comprehension.
 
hizi nguo kumbe zinapatikana madukani kirahisi tu eeh?
Kwa mtu mwenye akili timamu anajua kabisa mwanajeshi hatakiwi kuwa na chama
 
Msimshabikie mwenzenu akifanyiwa court martial na kuondolewa jeshini muwe tayari kumpa ajira! Wanajeshi wakitaka siasa watoke jeshini kwanza ndio kanuni ilivyo.

Amepiga picha na idol wake, kosa liko wapi?

hata Jk akienda US kwa kutumia kodi zetu anapiga picha na ma idol zake?

Je mimi raia wa kawaida si ruhusiwi kupiga picha?
Mbona wanajeshi wengi wakiwa na magwanda yao wamepiga picha wakiwa na ndugu jamaa na marafiki?
 
Mtajipambambanua kwa njia nyingi lakini sawa na mwanaume asiye na kizazi ... Bado mtanunua hadi nguo za mgambo wa jiji,za manesi na madr alafu mpige nao picha.... Hata kwa macho tu mtoto mdogo anajua huyo kibaka tu kaokotwa mtaani kavalishwa nguo .

Hakika mkuu umeona mbali wanajaribu kurusha karata lakini Things Fall Apart ZZK amemwaga mboga.
 
Kosa lake litakuwa lipi?

Mkuu Unataka kulijuwa(kulielewa) kosa lake subiri inamalizike Xmas ,wenye kazi zao wanalifanyia kazi hilo na kwaziada usije ukashangazwa ikiwa Utasikia jamaa amefariki hafla sababu ni sherehe za Xmas.
 
hakika picha hizo, zinatoa taswira nyingi kwa wananchi na CDM , kwa ujumla wake, hivi kweli mh ZZK anaweza akafanya vitendo hivyo. hivi unategemea ukimuuliza ZZK juu ya picha hizo au vitendo hivyo atasema nini? kuna tofauti kubwa ya kiuongozi kati ya viongozi na viongozi ndani ya CDM. mh NASSARI unadhani ni sifa hiyo? mh LEMA unadhani ni jambo jema hilo? nawewe mwingine mpenda sifa unadhani ni sawa kabisa hapo. nawe mjeshi vua gwanda kwanza kisha jiunge na CDM.vinginevyo jani maana hata ile mguu upande uliosimama si ya kiaskari imekaa ki-msokoto zaidi
 
Yule polisi wa morogoro aliyegombea NEC CCM pale Dodoma laifukuzwa kazi,so mkaribishe ukikijua anakuja akiwa hana kazi.

mbona liko wazi,ajiunge na chadema ili ajitolee kuwa mkombozi wa kweli.
 
Amepiga picha na idol wake, kosa liko wapi? hata Jk akienda US kwa kutumia kodi zetu anapiga picha na ma idol zake? Je mimi raia wa kawaida si ruhusiwi kupiga picha? Mbona wanajeshi wengi wakiwa na magwanda yao wamepiga picha wakiwa na ndugu jamaa na marafiki?
nilidhani unatania kumbe unatoa kitu inayouma kiasi hiii....mh.JF ni nouma.Nafurahia sana Misa ya Al-masih.
 
Back
Top Bottom