Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Tatizo wewe kama una shiba mpaka unavimbiwa huwezi kujua yanayo mkuta...Kuna mchezaji mmoja wa alisajiliwa nje akapiga mahesabu pesa anayo lipwa na kodi anayo paswa kulipa jamaa akarudi zake bongo watu walimsakama wee lakini jamaa alikuwa na hoja kama una cheza nje ya nchi halafu mwisho wa siku hata mama yako akikubipu huna uwezo wa kumpigia simu yaani sasa sia afadhali nikacheze bongo tu..hahah..sasa hakuna haja ya kuwa mwana jeshi wakati kila jioni wewe ni dereva toyo kutafuta cha kula cha watoto...aliteleza huyu...... au ndo mi :majani7:.......????????
Mtajipambambanua kwa njia nyingi lakini sawa na mwanaume asiye na kizazi ... Bado mtanunua hadi nguo za mgambo wa jiji,za manesi na madr alafu mpige nao picha.... Hata kwa macho tu mtoto mdogo anajua huyo kibaka tu kaokotwa mtaani kavalishwa nguo .
sijui maana ya maisha mazuri ni nini? msumeno anavyoelewa eti wanajeshi wana maisha mazuri...tumia akiri kidogo ktk kuandika hivi unaweza kulipa thamani ya uhai wa m2 kwa vipesa vya maji unavyosema and how much?mbona wakistaafu wanakuwa walinzi wa maduka na nyumba zetu kwa ujira wa kijinga' ni bora hawa jamaa wakaboreshewa maslahi na maisha yao kwa ujumla.
chadema tukaze buti jeshi linatuunga mkono
Na aliemrudishia kaipeleka wapi,ofisi ndogo Lumumba?huyo mnafiki alilejesha t-shirt ya CCM na sasa amesha rudi magamba tena...
Tumejaribu kuangalia ktk kumbukumbu zetu tumebaini kwamba hatuna mwanajeshi wa namna hiyo.
Sasa tunajipanga kushitaki Lema kwa kosa la kumiliki uniform za jeshi uku akijua ni kosa kubwa kisheria.
By
Mwamunyange.
Mkuu hii ni terminology nyingine mpya, tunahitaji ibakisha ktk misamiat ya kiswahiliYeye ni mmoja wa waasisi wa uthubutu
wacheche wao ndio wana enjoy bia zilizo ktk ruzuku na mikopo ya miradio na TV fake ambzo zinaingizwa na wakubwa wao.Sasa nadhani wameshtuka kuwa hata saccos zao ni kimeo na zinazidi warudisha nyuma mara nyingine baad aya furaha fupi.wengine wanajua wakitoka hawataweza pewa mkoa,wilaya au ujumbe wa Body kama akina Mboma.Mkuu maisha ni magumu yaani wanajeshi wanatamani afadhali wawe wachimba msingi kuliko kutumikia jeshi..kuna polisi wengine ukiwaona hata mavazi yao utawahurumia...
Mtajipambambanua kwa njia nyingi lakini sawa na mwanaume asiye na kizazi ... Bado mtanunua hadi nguo za mgambo wa jiji,za manesi na madr alafu mpige nao picha.... Hata kwa macho tu mtoto mdogo anajua huyo kibaka tu kaokotwa mtaani kavalishwa nguo .