PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

KATIKA GAZETI LA MWANANCHI LA LEO TAREHE 24 DEC, KUNA MTU ANAYEONEKENA KUPIGA PICHA NA KUHUDHURIA MKUTANO WA CHADEMA .. INADAIWA KUWA NI ASKARI WA JWTZ TOKA KAMBI YA MONDULI ... KUTOKANA NA MIONGOZO YA JESHI NI VYEMA JESHI LIKATOA KAULI KAMA HUYO MTU NI ASKARI KWELI AU LA.. AU KAVALIWASHWA MAGWANDA NA UKIANGALIA PIA MAGWANDA YAKE NI TOFAUTI NA YA JWTZ, NI YA JESHI LA MAREKEANI.

lema_mjeshi.jpg
Mtu aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha akiwa na wabunge wa Chadema,Godbless Lema (Arusha Mjini) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na wabunge hao katika Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara jana.
 
hawakurupuki..., muda muafaka ukifika, umma utajua mbivu au mbichi
 
Sio kweli wanajeshi wana maisha mazuri sana kulinganisha na kada nyingine,, mikopo ,,mshahara,, hela ya chakula ,, wanaoishi nje ya kambi umeme maji bure,,achani unazi huyu. Kanyea debe tayari




Mkuu maisha ni magumu yaani wanajeshi wanatamani afadhali wawe wachimba msingi kuliko kutumikia jeshi..kuna polisi wengine ukiwaona hata mavazi yao utawahurumia...
 
Naona Wenye haamini.

Jamaa keshakosa ajira.

kwenye vita ya ukombozi kufukuzwa kazi kufungwa, kuteswa kunyimwa haki hata kuuawa ni gharama za vita ya ukombozi akina Nyerere, mkwawa kinjekitile Ngwale, mtemi mirambo na mashujaa wengine wasingezikubali labda ungekuta bado tunakaliwa na wazungu!
 
jeshi lina sheria, kanuni na taratibu zake! lets wait...........
Kimsingi kafanya kosa kubwa sana kuingia kwenye siasa wala asisubiri aondolewe anatakiwa awe ameondoka mwenyewe kama ni kweli huyu kwenye picha ni mwajeshi halisi. La kujiuliza Is he alone? au ni chambo? are they many in silent support ila yeye yamemfika? Kwa kila mwenye akili za kuchambua masuala ni vizuri akajiuiliza maswali mengi kazi kwenu JF
 
Nilishasikia kauli kutoka kwa Lema kuwa hawa jamaa waliovaa magwanda ya mabaka mabaka wako na sisi kuanzia HQ yao. Na kwa kudhibitisha hilo, nasubiria kauli ya huko juu kuhusu huyo kijana aliopiga picha na makamanda.
 
Mjitayarishe kuwakana wanajeshi wote kama ndiyo hivi. Hawa si kama madaktari ama walimu wanaoweza kugoma utokana na sheria zao, ila askari wengi wa vyeo vya chini halizao kimaisha ni ngumu mno.
Mimi na jeshi langu hatufanyi kazi kihisia.
Bali tunafanya kazi kisheria.
Tayari nimekwisha toa movement order juu ya huyo mtu.
Kwa uchache tayari tumekwisha muhoji bwana Lema na wenzie na amekana kwamba hamjui huyo mtu.
Tayari nimemkabidhi bwana mwema vielelezo vyote ili ashughulikie hilo tatizo.
Kama angekua askari wetu basi tungemshughulia wenyewe,ila kwasababu ni raia na anatokea nchi jirani tumeamua kuwakabidhi police hii kesi ili wabaini ni mwenyeji wa nani hapa nchini.
 
KIBE; Mambo vipi?

Ni nini sana sana kimekutouch?
Ama haupendi kuona hivyo?

Ama kweli ikifika kipindi kifupi kijacho mbona mi cjui utasemaje! Pole sana KIBE
 
Last edited by a moderator:
ccm bana,wanaanza kuvikimbia hadi vivuli vyao

sasa hivi wanamuandaa msemaji wa jeshi aje kutangaza kuwa huyu ni kibaka kavaa nguo za jeshi na watatangaza wanamtafuta.
CCM wanakazi kubwa ya kuupinga ukweli.
 
ccm bana,wanaanza kuvikimbia hadi vivuli vyao

kama ni mzoefu wa kuangalia mambo ya majeshi ..na kama upo karibu na wanajeshi wa jwtz huwezi tumia akili sana kutambua kuwa ile unifomu si ya jwzt ni ya jeshi la usa... Lakini tusiwe wasemaji wa jwtz najua watatoa tu tamko kukiri au kupinga.
 
Wanachama wa CDM toka taasisi hizo nyeti tunao wengi japo ni kwa siri sana, ila huyo tunayo sababu ya kumpigia salute kwani ameweka mambo hadharani.
Jamani wengine tuige mfano huu kwani kupata mateso ya siku chache kwa matarajio ya furaha ya milele kuna shida gani?
ALUTA CONTIUNER.
 
mwanausalama yeyote ni mwiko kushabikia siasa

Siyo siasa sema upinzani!

Jiulize ilikuwaje jenerali Mboma aligombea ubunge kwa ticketi ya CCM soon baada ya kustaafu.
 
Hata hizo nguo zinapatikana hata kwenye maduka zinaendana na kombati.La kushangaza hakuna.Angejitaja jina hapo sawa.Siasa ndo hizo wazee.

Tukikwambia utuoneshe duka linalouza full combat kama hizo unaweza,acha kuropoka au hang over?
AkIli.
 
Back
Top Bottom