KATIKA GAZETI LA MWANANCHI LA LEO TAREHE 24 DEC, KUNA MTU ANAYEONEKENA KUPIGA PICHA NA KUHUDHURIA MKUTANO WA CHADEMA .. INADAIWA KUWA NI ASKARI WA JWTZ TOKA KAMBI YA MONDULI ... KUTOKANA NA MIONGOZO YA JESHI NI VYEMA JESHI LIKATOA KAULI KAMA HUYO MTU NI ASKARI KWELI AU LA.. AU KAVALIWASHWA MAGWANDA NA UKIANGALIA PIA MAGWANDA YAKE NI TOFAUTI NA YA JWTZ, NI YA JESHI LA MAREKEANI.
Mtu aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha akiwa na wabunge wa Chadema,Godbless Lema (Arusha Mjini) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na wabunge hao katika Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara jana.