kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,073
- 6,639
Hapo anawatumia vilema kujitafutia umaarufu.
hahahahaha too poor!!
Hapo anawatumia vilema kujitafutia umaarufu.
hope ushaweka Z tayari!ndi anlikuwa anafurahia sana Muhongo kuachia NGAI
Mh!! ila binadamu kuishi naye kazi zilipoibiwa za escrow tulilalamika sana haya sasa wenye nazo wakiwagawia mnalalamika. Jamani kazi ipo
Lbda wenyewe wamechagua ubwabwa..........Binafsi huwa sioni tija ya kumpa mtu ubwabwa kwa siku moja. Angekuwa kila mwaka anaingiza walemavu 10 kwenye scholarship program angebadili maisha ya watu wengi sana. Wakishakula na kunywa for a day per year, then?
Binafsi huwa sioni tija ya kumpa mtu ubwabwa kwa siku moja. Angekuwa kila mwaka anaingiza walemavu 10 kwenye scholarship program angebadili maisha ya watu wengi sana. Wakishakula na kunywa for a day per year, then?
Huyu baba hua anajitahidi jamanii
Angekua anajitahid , omba omba mosh mjin pale wasingekuwepo! tena ni wachache sana, pale crdb wako wa4, stand barabara ya kuelekea mbuyuni karbu na nmb wanaesabika pia.
Angekua anajitahid , omba omba mosh mjin pale wasingekuwepo! tena ni wachache sana, pale crdb wako wa4, stand barabara ya kuelekea mbuyuni karbu na nmb wanaesabika pia.
Wewe huwezi kuwasaidia?
Anatoa anavyojisikiaaa bana hata we unaweza kuwasaidia pia
Jaribu kutumia hekima japo kidogo tu,vitabu vyote vitakatifu vinasisitiza umuhimu wa kuwajali wasiojiweza,ni jukumu letu sote kuwasaidia wasiojiweza.Nani asiyetambua mchango wa Mh. Reginald MENGI kwenye sekta ya elimu,watoto wa kike,vijana,madini n.k. Kutoa siyo utajiri ni moyo wa mtu mwenyewe
Binafsi huwa sioni tija ya kumpa mtu ubwabwa kwa siku moja. Angekuwa kila mwaka anaingiza walemavu 10 kwenye scholarship program angebadili maisha ya watu wengi sana. Wakishakula na kunywa for a day per year, then?
Hongera sana Mzee Mengi ni matajiri wachache sana ambao hupenda kula na mskini na wahitaji kama hao...tena kwa hapa bongo kama yupo mwingine mtajeni!