Picha: Mengi akigawa utajiri wake

Picha: Mengi akigawa utajiri wake

Apandishe mishahara ya wafanyakazi wa IPP kwanza!siyo kutafuta masifa yasiyo maana...
 
Katika jitihada zake za kuendelea kuwawezesha watu wenye ulemavu, Dk. Mengi alitangaza shindano la kubuni wazo la biashara huku kila mmoja miongoni mwa washindi kumi watakuwa wakizawadiwa Sh. milioni 10 kwa ajili ya kuwasaidia kuinua hali zao kiuchumi.

soma zaidi hapa

uliwahi kusikia kuwa anawasomesha wao na hata mayatima? kwa nini asiwape elimu? hata hizo pesa anazojitangaza kuwasaidia walemavu huwapa mashikaji zake kama akina Likokola mwenye vikoba na walemavu hawazioni.
 
Hakuna lolote, huko kote unakopataja mbona hatuoni? Tunaona hapa akiwaanika vilema na wasiojiweza kwa kutafuta sifa.
Akitoa kimya kimya mnasema hamjawahi kuona/kusikia akitoa,akionyesha kuwa anatoa munasema ni show off,mimi naona ni bora atoe waziwazi ili atu influence wengine tuone haja ya kujitolea,ila ndiyo hivyo hkun jema kwa binadamu nyie! Mwenzako hapa anapingana na hoja yako huku akiungana na wewe kumponda mengi»mkubwa 21 17:17 Today


By Dinazarde:
Anatoa anavyojisikiaaa bana hata we unaweza kuwasaidia pia

Unajua kuna utoaji wa show , afu kuna utoaji wa kutoka moyon, mi ofcause nawasaidia afu ni mlangoni kuelekea kwao, na uwezi fananisha pesa yangu na yake ye ni nyingi..

nliposimamia ni kwamba wenye shda ni weng sana je ni wote anawasaidia kwa uwiano stahiki kama awez kuwasaidia wote atoage kimya sio kuweka matangazo, we unafkir hawa uku njian wengne wakisikia meng kasaidia walemavu atajiskiaje afu ye anasota...,

ninachopinga ni ile show off sio nzur watoage kimyakimya
 
Akitoa kimya kimya mnasema hamjawahi kuona/kusikia akitoa,akionyesha kuwa anatoa munasema ni show off,mimi naona ni bora atoe waziwazi ili atu influence wengine tuone haja ya kujitolea,ila ndiyo hivyo hkun jema kwa binadamu nyie! Mwenzako hapa anapingana na hoja yako huku akiungana na wewe kumponda mengi»mkubwa 21 17:17 Today


By Dinazarde:
Anatoa anavyojisikiaaa bana hata we unaweza kuwasaidia pia

Unajua kuna utoaji wa show , afu kuna utoaji wa kutoka moyon, mi ofcause nawasaidia afu ni mlangoni kuelekea kwao, na uwezi fananisha pesa yangu na yake ye ni nyingi..

nliposimamia ni kwamba wenye shda ni weng sana je ni wote anawasaidia kwa uwiano stahiki kama awez kuwasaidia wote atoage kimya sio kuweka matangazo, we unafkir hawa uku njian wengne wakisikia meng kasaidia walemavu atajiskiaje afu ye anasota...,

ninachopinga ni ile show off sio nzur watoage kimyakimya

"ukitaka kumlisha mtu ukimpa samaki utamtoa njaa kwa siku moja tu, mpe nyavu akavue, utamtoa njaa maisha yake yote"

Rough translation of a Chinese proverb.
 
Ulukolokwitanga

Unafikiri ile mikampuni ya Kiamtaifa, huko alikokuwa anawazungukia aliyoishawishi, kuja kutafuta gas ni nini kile kama si nyavu za kuvulia maisha?? Fikiri.
 
Last edited by a moderator:
JK akitoa mbuzi wakati wa idi inatangazwa ili iweje?

Jakaya ni Rais, kila alifanyalo linarekodiwa. Hana pakukwepa.

Unataka kufananisha kinyangarakata kile na Rais wa watu millioni zaidi ya 45? na mifugo yao, na ardhi yao, na mimea yao? Unanchekesha!
 
Jakaya ni Rais, kila alifanyalo linarekodiwa. Hana pakukwepa.

Unataka kufananisha kinyangarakata kile na Rais wa watu millioni zaidi ya 45? na mifugo yao, na ardhi yao, na mimea yao? Unanchekesha!

Faiza usi2mie dini kumtusi mja wa mwenyez mungu wala kauli kali kwa wasio waislamu kwani sio kujenga dini bali nikupotosha ndugu yangu ktk imani maana hata Nabii Musa aliambiwa na mwenyez Mungu amlinganie Fir aun kwa maneno matamu na ya upole sasa kama ndivyo bac hyo haswa ndio njia ya kulingania umma na sio majina na kauli kali kama kikaragosi maana huyo hajapata Nusra ya allah anaweza kupata Nusra kupitia kwako na kuwa muumin na ndivyo walivyo fanya mitume na manabii wa mwenyez mungu "mtake radhi na eleza hoja yako bila kumtusi"
 
Faiza usi2mie dini kumtusi mja wa mwenyez mungu wala kauli kali kwa wasio waislamu kwani sio kujenga dini bali nikupotosha ndugu yangu ktk imani maana hata Nabii Musa aliambiwa na mwenyez Mungu amlinganie Fir aun kwa maneno matamu na ya upole sasa kama ndivyo bac hyo haswa ndio njia ya kulingania umma na sio majina na kauli kali kama kikaragosi maana huyo hajapata Nusra ya allah anaweza kupata Nusra kupitia kwako na kuwa muumin na ndivyo walivyo fanya mitume na manabii wa mwenyez mungu "mtake radhi na eleza hoja yako bila kumtusi"

Tusi lipo wapi? unanshangaza!
 
Haikuwa na haja ya kumuita kinyangarakati ni lugha ya kuudhi

Naona umebadili nyimbo, kutoka "matusi" mpaka lugha ya kuudhi. Unashangaza! kwanini sasa kwanza ulizuwa nimetukana?

Huoni haya wala hujuwi vibaya kuandika uongo?

Kinyangarakata siyo tusi wala siyo lugha ya kuudhi, uki compare Kikwete na Mengi, Mengi anabaki kuwa kinyangarakata tu.
 
Naona umebadili nyimbo, kutoka "matusi" mpaka lugha ya kuudhi. Unashangaza! kwanini sasa kwanza ulizuwa nimetukana?

Huoni haya wala hujuwi vibaya kuandika uongo?

Kinyangarakata siyo tusi wala siyo lugha ya kuudhi, uki compare Kikwete na Mengi, Mengi anabaki kuwa kinyangarakata tu.

Oky Faiza upendavyo na iwe hvyo sio amri ni ushauri tu na waweza muita vyovyote utakavyo
 
Back
Top Bottom