Picha: Mengi akigawa utajiri wake

Picha: Mengi akigawa utajiri wake

me naskia akiwapeleka watoto india kwe upasuaji wa moyo...nais apo pia atakua anjipa promo tu,...au sio?

suala la kuwapeleka india watoto mbona unawaweka pembeni lotary na lions club?
 
hivi baharesaa anatoaga msaada kibao sijawai kumuona anajitangaza...mkuu hayo ni mambo PUBLIC RELATION[wana create image tu hapo]
 
Hana lolote huyo babu. Ni mkuu wa wanafiki. Anafanya mambo mengi kutafuta sifa, lakini ayafanyayo nyuma ya pazia ni ya kutisha. Ni katili wa ajabu!
 
Ni ngumu kujua ya moyoni anayowaza mtu ila ni rahisi kumuelewa ukijua anakopatia kipato,hp cna neno wanaojua watatueleza.
 
Hivi Mbona wafanyakazi wake wanalia njaa hivo ?
Kwa nin asiboreshe kwanza maslahi Ya watumishi wake wanaolipwa 1500/= kwa siku KWENYE tanzaniate africa ?
 
Hapo anawatumia vilema kujitafutia umaarufu.
Angekuwa ni muislamu ungeweka comment ya tofauti. Wewe ndo upo moyoni mwake mpaka usem hivyo. Tatizo ukishakuwa mdini huwezi kuwa na objectivity hata kidogo
 
Angekuwa ni muislamu ungeweka comment ya tofauti. Wewe ndo upo moyoni mwake mpaka usem hivyo. Tatizo ukishakuwa mdini huwezi kuwa na objectivity hata kidogo

Kwani Mengi ni dini gani?

DSC09793.JPG
 
Back
Top Bottom