Picha: Jeshi letu bana kwa kuiga tu

Picha: Jeshi letu bana kwa kuiga tu

Taratibu za kijeshi ziko identical dunia nzima,
Si rahisi raia wa kawaida kuelewa hii.Ndiyo maana unasema ameiga
 
Kuna ubaya gani kuiga jambo zuri

Sent from my Sony Xperia Z3 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada ana tatizo flan la akili....na Mungu asaidie awe mwanamke maana kama kuna familia inaenda kuongozwa na kichwa cha hivi.....doh
 
View attachment 540844
Huyo askar kwenye picha bila shaka alifuatilia matukio ya kigaidi huko ufaransa kwenye tv na kuwaona makomandoo wa huko wakivaa kininja (balaclava) naye akapiga timingi matukio ya kibiti akaamua atoke hivyo. Utadhani kinyago.
View attachment 540842 View attachment 540843

Iga ufe!
Tatzo unajifanya unajua wakati hujui na bahati mbaya hujui kwamba hujui. Kwaakili hyo ya kujifanya unajua wajati hujui hutakuja kujua milele utaishia na kauli za kipumbavu..
 
Jeshi lolote lile Lina nidhamu zake hawezi Askari kuiga tu bila kuwa na sababu ambayo inakubalika na uongozi wake.

Waheshimu Jeshi letu, lolote lile, wanajitolea nafsi na maisha yao kutufanya sisi tulale salama.

Hata uwepo wako JF kwa kujinafas unawategemea hao hao walinda usalama wetu.

Ahsanteni sana vijana kwa kutulinda katika mazingira magumu. Msikatishwe tamaa na mapunguani wachache wasio na fikra.
Asante

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Unadhani Jeshi mtu anajiamulia tu kuongeza mbwembwe kwenye Dress code kama baadhi ya Ofisi zetu?
 
Jeshi lolote lile Lina nidhamu zake hawezi Askari kuiga tu bila kuwa na sababu ambayo inakubalika na uongozi wake.

Waheshimu Jeshi letu, lolote lile, wanajitolea nafsi na maisha yao kutufanya sisi tulale salama.

Hata uwepo wako JF kwa kujinafas unawategemea hao hao walinda usalama wetu.

Ahsanteni sana vijana kwa kutulinda katika mazingira magumu. Msikatishwe tamaa na mapunguani wachache wasio na fikra.
Wewe ndio punguani haswaaa



Post sent using JamiiForums mobile app
 
polisi ni je

shi mkuu,kaangalie sheria iliyoanzisha jeshi hilo,katiba imetoa mamlaka kwa sheria nyingine kuanzishwa majeshi ya ulinzi na usalama kadri jamhuri inavyoona inafaa.
Hakuna Nchi yenye majeshi zaidi ya moja....Kiswahili ni lugha masikini sana hivyo haina misamuati ya Kutosha..

Jeshi ni moja tu(JWTZ)

Zingine ni Idara mbalimbali
Idara ya Polisi
Idara ya Magereza
Idara ya Zimamoto
Idara ya Uhamiaji
 
Jeshi ni moja tuuu...(JWTZ)

Zingine ni Idara au Paramillitary..
Idara ya Polis
Idara ya Uhamiaj
Idara ya Magereza
Idara ya Zimamoto
Hizi post ni za askari wa jwtz mara nyingi form four wenye D mbili ndo hua wanapenda kubishana ubishi usiokua na maana kama huu, eti jeshi ni jwtz.
Tafuta hela uishi vizuri kujisifia kazi na rangi ya nguo ni uvivu wa kufikiri, wenye vyeo vyao wametulia we kajamba nani ndo unahangaika

Nothing is easier than blaming others for your own problems
 
sasa hapo wana winda nini? simba au swala.

kwani watu wanaishigi kweny majani?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu hakuvaa kifaa hicho kwa bahati mbaya.
Ni wazi alikuwa anaficha utambulisho wake, sababu inawezekana si mmoja wa hilo jeshi lililopo hapo eneo la tukio. Pengine yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi, inawezekana ni kiongozi mkubwa tu wa moja ya majeshi ya tz, au ni mfanyakazi wa idara ya serikali au taasisi binafsi -hapo kaenda kwa kazi maalum
Hamna ni mbwembwe tu hizo
 
Tatzo unajifanya unajua wakati hujui na bahati mbaya hujui kwamba hujui. Kwaakili hyo ya kujifanya unajua wajati hujui hutakuja kujua milele utaishia na kauli za kipumbavu..
Hilo povu ulilotoa linajaza karai kabisa.
 
Hizi post ni za askari wa jwtz mara nyingi form four wenye D mbili ndo hua wanapenda kubishana ubishi usiokua na maana kama huu, eti jeshi ni jwtz.
Tafuta hela uishi vizuri kujisifia kazi na rangi ya nguo ni uvivu wa kufikiri, wenye vyeo vyao wametulia we kajamba nani ndo unahangaika

Nothing is easier than blaming others for your own problems
Pole sana....
 
Pole sana....
Kama unafanya kazi kishabiki usitegemee kutoka kimaisha.
Kazi ya utumishi wa umma ni kazi isiyoweza kukutoa kimaisha nakusihi utafute hela habari za kusifia kazi ni kupoteza muda.
Askari wote jwtz,polisi,magereza wanastaafu maskini hasa usipokua makini sasa wewe komaa mimi sijui jeshi langu imara, mara idara yetu nzuri.
Mkuu tafuta hela zingine mbwembwe tu

Nothing is easier than blaming others for your own problems
 
Jeshi ni moja tuuu...(JWTZ)

Zingine ni Idara au Paramillitary..
Idara ya Polis
Idara ya Uhamiaj
Idara ya Magereza
Idara ya Zimamoto
Aaaaaaha!! Ingia kwenye 18 zao ndo utajua Polisi ni jeshi au idara ya mkonge?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Aaaaaaha!! Ingia kwenye 18 zao ndo utajua Polisi ni jeshi au idara ya mkonge?

Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
We muache ajidanganye siku moja akosee aingie hata kwenye 18 za wale askari wa zimamoto ndo atajua nini maana ya mamlaka [emoji23] [emoji23]

Nothing is easier than blaming others for your own problems
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom