Picha: Jeshi letu bana kwa kuiga tu

Picha: Jeshi letu bana kwa kuiga tu

Hakuna Nchi yenye majeshi zaidi ya moja....Kiswahili ni lugha masikini sana hivyo haina misamuati ya Kutosha..

Jeshi ni moja tu(JWTZ)

Zingine ni Idara mbalimbali
Idara ya Polisi
Idara ya Magereza
Idara ya Zimamoto
Idara ya Uhamiaji

Mkuu inaonekana huelewi lolote kuhusu Jeshi.Jitahidi kujielimisha maana kwa upande huu upo mtupu kabisa.
Hivi unajua Jen.Mabeyo anaitwa Mkuu wa Majeshi na sio Mkuu wa Jeshi?.
 
Mkuu inaonekana huelewi lolote kuhusu Jeshi.Jitahidi kujielimisha maana kwa upande huu upo mtupu kabisa.
Hivi unajua Jen.Mabeyo anaitwa Mkuu wa Majeshi na sio Mkuu wa Jeshi?.
JWTZ ina Kamandi nne na zingine zinakaribia kuanzishwa..itaongezea Kamandi ya Medical na Ugavi..

Sasa Kamandi hizo ni
Jeshi la Nchi kavu(LandForce Command)
Jeshi la Majini(Vavy Command)
Jeshi la Anga(Airforce Command)
JKT

Sasa anaitwa Mkuu wa Majeshi kwakuwa Yeye ndiye Mkuu wa Kamandi hizo 4

Upcoming Commands

Medical Command
Logistics Command

Goodafternoon
 
Aaaaaaha!! Ingia kwenye 18 zao ndo utajua Polisi ni jeshi au idara ya mkonge?

Post sent using JamiiForums mobile app
Sina mipasho mimi...kuelewa ama kutokuelewa ni uamuzi wa mtu...upo huru kuamua kutokulewa...

Ngoja nikuache na mipasho yako...
 
JWTZ ina Kamandi nne na zingine zinakaribia kuanzishwa..itaongezea Kamandi ya Medical na Ugavi..

Sasa Kamandi hizo ni
Jeshi la Nchi kavu(LandForce Command)
Jeshi la Majini(Vavy Command)
Jeshi la Anga(Airforce Command)
JKT

Sasa anaitwa Mkuu wa Majeshi kwakuwa Yeye ndiye Mkuu wa Kamandi hizo 4

Upcoming Commands

Medical Command
Logistics Command

Goodafternoon

Kwa hiyo unafuta kauli yako ya awali kwamba Jeshi halipo moja tu?.

By,the way Tafsiri ya Kikundi fulani kuitwa Jeshi unaitoa wapi?

Kama ni kwenye ubongo wako na mimi nikupe tafsiri ya Jeshi kwa ninavyosikia baadhi ya Wamarekani wanavyosema.
 
Kwa hiyo unafuta kauli yako ya awali kwamba Jeshi halipo moja tu?.
Jeshi ni moja tuu..likiwa na Kamandi zake Nne..

By,the way Tafsiri ya Kikundi fulani kuitwa Jeshi unaitoa wapi?
Sheria Mama ya Ulinzi wa Taifa(The National Defence Act..NDA)

Kama ni kwenye ubongo wako
Kama NDA ipo kwenye ubongo wangu ni vyema na haki..

na mimi nikupe tafsiri ya Jeshi kwa ninavyosikia baadhi ya Wamarekani wanavyosema.
Kama Wamerakani ndio wamekuwa ndio wa kutafsia jinsi majeshi yetu tutakavyo yaita...Then I rest my case with you..

Ila kama tunatumia NDA ....Naomba usirudi tena ku-comment kwenye huu uzi
 
Jeshi ni moja tuu..likiwa na Kamandi zaje Nne..

Sheria Mama ya Ulinzi wa Taifa(The National Defence Act..NDA)

Kama NDA ipo kwenye ubongo wangu ni vyema na haki..

Kama Wamerakani ndio wamekuwa ndio wa kutafsia jinsi majeshi yetu tutakavyo yaita...Then I rest my case with you..

Ila kama tunatumia NDA ....Naomba usirudi tena ku-comment kwenye huu uzi

Wewe ni mtupu kabisa kwenye mambo ya Ulinzi.
Niambie hiyo sheria mama ya Ulinzi inayokudanganya kwamba Jeshi ni Moja tu ipo kifungu gani.

Kwa kukusaidia ili nisiendelee kupoteza muda ni kwamba Katiba ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ndio yenye mamlaka yote ya kutamka kikundi gani kinatakiwa kiitwe Jeshi.

SOMA SURA YA 9,IBARA 148(4).Inasema,
"Kwa madhumuni ya Ibara hii,"Mwanajeshi maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au kudumu katika JESHI LA ULINZI,JESHI LA POLISI,JESHI LA MAGEREZA au JESHI LA KUJENGA TAIFA".

Kama bado hujaelewa nitafute niendelee kukufafanulia.
 
Kwa mtazamo wangu hakuvaa kifaa hicho kwa bahati mbaya.
Ni wazi alikuwa anaficha utambulisho wake, sababu inawezekana si mmoja wa hilo jeshi lililopo hapo eneo la tukio. Pengine yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi, inawezekana ni kiongozi mkubwa tu wa moja ya majeshi ya tz, au ni mfanyakazi wa idara ya serikali au taasisi binafsi -hapo kaenda kwa kazi maalum
Au ni mzaliwa wa kibiti

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
SOMA SURA YA 9,IBARA 148(4).Inasema,
"Kwa madhumuni ya Ibara hii,"Mwanajeshi maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au kudumu katika JESHI LA ULINZI,JESHI LA POLISI,JESHI LA
Ndio makosa hayo ya Kimsamiati tunayoyapigia kelele kila siku...Jeshi ni Moja..

Pitia Sheria Mama ya Ulinzi wa Nchi...
 
Ndio makosa hayo ya Kimsamiati tunayoyapigia kelele kila siku...Jeshi ni Moja..

Pitia Sheria Mama ya Ulinzi wa Nchi...

Sheria Mama ni KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Kama unataka tafsiri binafsi sema na sisi tukupe za kwetu.
 
idara ni nini?kasome katiba yetu jeshi ni nn kwa mujibu wa sheria,lawyer do not define law but interprete it.
Hakuna Nchi yenye majeshi zaidi ya moja....Kiswahili ni lugha masikini sana hivyo haina misamuati ya Kutosha..

Jeshi ni moja tu(JWTZ)

Zingine ni Idara mbalimbali
Idara ya Polisi
Idara ya Magereza
Idara ya Zimamoto
Idara ya Uhamiaji
 
Hakuna Nchi yenye majeshi zaidi ya moja....Kiswahili ni lugha masikini sana hivyo haina misamuati ya Kutosha..

Jeshi ni moja tu(JWTZ)

Zingine ni Idara mbalimbali
Idara ya Polisi
Idara ya Magereza
Idara ya Zimamoto
Idara ya Uhamiaji
Aya jeshi ni nyinyi jwtz nchi mnalinda nyinyi mko juu ya sheria zote hamtakiwi kufata nyinyi mnalipwa mishahara mikubwa nyinyi mna nguo nzuri nyinyi lakini nashangaaa watu wa idara Fulani wanakuarrest

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Aya jeshi ni nyinyi jwtz nchi mnalinda nyinyi mko juu ya sheria zote hamtakiwi kufata nyinyi mnalipwa mishahara mikubwa nyinyi mna nguo nzuri nyinyi lakini nashangaaa watu wa idara Fulani wanakuarrest

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Mimi ni Si Mwanajeshi ila ni mtu ninayependa kufuatilia mambo...Kwenye maonesho ya Sabasaba kwenye banda la Jeshi niliwaomba wanieleweshe..nikapewa vijarida...
 
Nipo hapa hapa..wala sibanduki

Endelea kujifunza.Lazima ujue kutofautisha kati ya chuki binafsi na Ukweli halisi.

Polisi ni Jeshi kamili kama ilivyo Magereza,JWTZ na JKT.
Kila Jeshi lina majukumu yake tofauti.
Ndani ya Jeshi la Polisi kuna Vikosi kama ANGA,TRAFFIC,FFU nk wakati JWTZ ina Kamandi za ANGA,NAVY na INFANTRY wakati Magereza kuna SPECIAL UNIT na JKT wana Vikosi vya Uzalishaji Mali.
 
nipeni kifungu cha katiba kinachotamka jeshi ni moja yaani jwtz na hakuna mamlaka kuanzisha vikosi na majeshi mengine kwa mujibu wa sheria,pia rejea na sheria ya usalama wa taifa ya mwaka 67,ya mwaka 75 na zingine ambazo zinatambua majeshi mengine na utuambie mkuu,lengo kujua si kubishana
Sheria Mama ni KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Kama unataka tafsiri binafsi sema na sisi tukupe za kwetu.
 
Kwa mtazamo wangu hakuvaa kifaa hicho kwa bahati mbaya.
Ni wazi alikuwa anaficha utambulisho wake, sababu inawezekana si mmoja wa hilo jeshi lililopo hapo eneo la tukio. Pengine yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi, inawezekana ni kiongozi mkubwa tu wa moja ya majeshi ya tz, au ni mfanyakazi wa idara ya serikali au taasisi binafsi -hapo kaenda kwa kazi maalum
Mwigulu?
 
Mimi ni Si Mwanajeshi ila ni mtu ninayependa kufuatilia mambo...Kwenye maonesho ya Sabasaba kwenye banda la Jeshi niliwaomba wanieleweshe..nikapewa vijarida...

Kijarida hicho ulichopewa Sabasaba hukukielewa na kimekupoteza.
Umelishwa matangopori inabidi uyatapike ili upokee vitu muhimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom