baba glory
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 292
- 213
Mkuu kuna watu hata kufikiri jambo dogo kama hilo hawawezagi, afu hata post yenyewe kaitoa kidharau wakati jioni akidakwa na masela wakampora simu atakimbilia polisiKwa mtazamo wangu hakuvaa kifaa hicho kwa bahati mbaya.
Ni wazi alikuwa anaficha utambulisho wake, sababu inawezekana si mmoja wa hilo jeshi lililopo hapo eneo la tukio. Pengine yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi, inawezekana ni kiongozi mkubwa tu wa moja ya majeshi ya tz, au ni mfanyakazi wa idara ya serikali au taasisi binafsi -hapo kaenda kwa kazi maalum
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app