FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Namzungumzia Yusuf Almas, aliyekuwa imam msaidizi wa msikiti wa kurasini na mwanafunzi pale udsm
Simfahamu, kwani wewe unamfahamu kuwa ni gaidi?
Namzungumzia Yusuf Almas, aliyekuwa imam msaidizi wa msikiti wa kurasini na mwanafunzi pale udsm
Tatizo la mleta mada ameathirika sana na uzunguMleta Mada Bado Hujajua Mambo Ya Kiusalama
Dada Faiza hupo....! Nakuonaaa...ujue nakuonaaa...Jeshi lolote lile Lina nidhamu zake hawezi Askari kuiga tu bila kuwa na sababu ambayo inakubalika na uongozi wake.
Waheshimu Jeshi letu, lolote lile, wanajitolea nafsi na maisha yao kutufanya sisi tulale salama.
Hata uwepo wako JF kwa kujinafas unawategemea hao hao walinda usalama wetu.
Ahsanteni sana vijana kwa kutulinda katika mazingira magumu. Msikatishwe tamaa na mapunguani wachache wasio na fikra.
Sio kama ameiga hivyo vifaa vipo na huwa vinatakiwa kuvaliwa lakini kutokana na kutokuwa na utayari dhidi matukio ya hatari kama hapa nchini kwetu ndio utaona mwingine kavaa na mwingine hajavaa, na sio kama ameiga, mfano mzuri Bulletproof vest, utakuwa wengine wamevaa na wengine hawajavaa wakati wote hao wanakwenda labda kwenye tukio a hatari.View attachment 540844
Huyo askar kwenye picha bila shaka alifuatilia matukio ya kigaidi huko ufaransa kwenye tv na kuwaona makomandoo wa huko wakivaa kininja (balaclava) naye akapiga timingi matukio ya kibiti akaamua atoke hivyo. Utadhani kinyago.
View attachment 540842 View attachment 540843
Iga ufe!
Kuna taratibu zake katika majeshi na sidhani kama kuna jambo jipya linaloweza kufanywa na askariView attachment 540844
Huyo askar kwenye picha bila shaka alifuatilia matukio ya kigaidi huko ufaransa kwenye tv na kuwaona makomandoo wa huko wakivaa kininja (balaclava) naye akapiga timingi matukio ya kibiti akaamua atoke hivyo. Utadhani kinyago.
View attachment 540842 View attachment 540843
Iga ufe!
Tatizo la mleta mada ni kutokujua jambo ila kulazimisha ujuaji.Mi sijaelewa lengo la mtoa mada! sidhani km ana elimu na alichokiongea....
Pengine pia ni mkaz wa hilo eneoKwa mtazamo wangu hakuvaa kifaa hicho kwa bahati mbaya.
Ni wazi alikuwa anaficha utambulisho wake, sababu inawezekana si mmoja wa hilo jeshi lililopo hapo eneo la tukio. Pengine yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi, inawezekana ni kiongozi mkubwa tu wa moja ya majeshi ya tz, au ni mfanyakazi wa idara ya serikali au taasisi binafsi -hapo kaenda kwa kazi maalum
Sasa kama ameiga,wewe inakuwasha nini?View attachment 540844
Huyo askar kwenye picha bila shaka alifuatilia matukio ya kigaidi huko ufaransa kwenye tv na kuwaona makomandoo wa huko wakivaa kininja (balaclava) naye akapiga timingi matukio ya kibiti akaamua atoke hivyo. Utadhani kinyago.
View attachment 540842 View attachment 540843
Iga ufe!
Sasa ataondokaje wakati alikuwa kwenye moja ya majukumu yake ya kazi ya uandishi.Mwangosi aliheshimu jeshi lilipomwambia aondoke?
Utajua thamani ya jicho siku ukiwa kipofu. Kwa hiyo wewe huelewi umuhimu wa askari polisi. Na kwa fikra zako za kipumbavu unaona kwamba hata wasingekuwepo ungekuwa salamahao walimuheshimu daudi mwangosi? Tangu lini wakajitolea kwa ajili yetu ka si kwanynyi watawala was ccm
Unabishana kawaida sana bila hojausalama gani? Mbwembe tuu
View attachment 540844
Huyo askar kwenye picha bila shaka alifuatilia matukio ya kigaidi huko ufaransa kwenye tv na kuwaona makomandoo wa huko wakivaa kininja (balaclava) naye akapiga timingi matukio ya kibiti akaamua atoke hivyo. Utadhani kinyago.
View attachment 540842 View attachment 540843
Iga ufe!
HaswaKwa mtazamo wangu hakuvaa kifaa hicho kwa bahati mbaya.
Ni wazi alikuwa anaficha utambulisho wake, sababu inawezekana si mmoja wa hilo jeshi lililopo hapo eneo la tukio. Pengine yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi, inawezekana ni kiongozi mkubwa tu wa moja ya majeshi ya tz, au ni mfanyakazi wa idara ya serikali au taasisi binafsi -hapo kaenda kwa kazi maalum
"Tanzania italeta KINYAGO cha Mwalimu Nyerere hapa Addis Ababa.. " JPMEti ka kinyago!
tdot