Utàkua na mimba changa ya BAVICHA weweAnamdhalikisha nani sasa hapo?
Bavicha bhnaa
Unahamisha magoli sasa. Ila za kwenu za kimarekani mmeletewa kina Coy Mzungu..hizi za kina braza K zina watu wake uswazi; hizo mnazoendaga nyie kwa kina Coy wala haziwavutii kabisa na wao....Okey,nadhani huko zamani ambako hawakuwa na ufahamu mkubwa na tasnia hiyo,kwa sasa washajua kuwa uchekeshaji sio lazima uvae manguo matambala,picha zote hizo huko zamani wakitafuta njia za kutokea,kwa sasa sidhani....
by the way shukrani.
Huyo msge kaa wewe labda akachekeshe chatoAnamdhalikisha nani sasa hapo?
Bavicha bhnaa
HEBU TOA BANGI ZAKO NANI ALIKUTUMA USISOMEIndustry ya kuvua nguo jukwaani?
Kuvua nguo ndiyo usomi? Hoja ya kijinga kabisa hii. Una umri gani?HEBU TOA BANGI ZAKO NANI ALIKUTUMA USISOME
Binafsi huwa simuelewi huyu jamaa. Hata futuhi huwa siielewi maana sichekagi.Hebu kila mtu aangalie picha hii hapa chini kisha atoe maoni yake bila hila wala inda. Huu ni uchekeshaji ama udhalilishaji??
View attachment 1809375
Sana sana mm huwa nikikuta watu wanaangalia huwa nashikilia roho yangu nikihofia atavua nguo. Kwahiyo akiwa hewani huwa naanza kutetemeka kama mgonjwa wa malaria.huyu jamaa huwa siwaelewi maana sioni kichekesho chochote zaidi ya kujidhalilisha
Kweli itakuwa wachato ndiyo wanacheka ujinga wa huyu mwambaHuyo msge kaa wewe labda akachekeshe chato
Inategemeana ameamua kutumia style ipi katika uchekeshaji wake ukiona wachekeshaji wote kila mmoja ana njia yake wengine kama sultan yupo smart ila ongea yake tu utacheka muache afanye kaz nduguBaadhi wanadhani uchekeshaji unaendana na kuvaa nguo kubwa, kuongea kwa lafudhi ya jamii Fulani na mengineyo ila sikatai inaweza kuwa sawa ila unaweza ukavaa vizuri tu ukaenda kwa stage ukaonesha kipaji chako na watu wakakiona.