Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 604
wa wanaovaa malapulapu au ?Weka mfano wa uchekeshaji
Kwa wasiovaa vituko anzia hapa utachagua mwenyewe kulingana na uelewa wako
wa wanaovaa malapulapu au ?Weka mfano wa uchekeshaji
Unao kuchekesha wewewa wanaovaa malapulapu au ?
Wanaodh8alilisha mbongo zao ni kama mdau hapa.Anamdhalikisha nani sasa hapo?
Bavicha bhnaa
Ingia hapaUnao kuchekesha wewe
Weka jukwaani mbona wamarapurapu kawekwa jukwaani
I dont have that time.Weka jukwaani mbona wamarapurapu kawekwa jukwaani
Umelewa wewe?Hebu kila mtu aangalie picha hii hapa chini kisha atoe maoni yake bila hila wala inda. Huu ni uchekeshaji ama udhalilishaji??
View attachment 1809375
Naona umedhalilishwaHebu kila mtu aangalie picha hii hapa chini kisha atoe maoni yake bila hila wala inda. Huu ni uchekeshaji ama udhalilishaji??
View attachment 1809375
Huo nimetolea mfano tu kwa manguli wa hizo kazi za uchekechaji,wabongo wapo Joti,marehemu mzee Majuto nk,uliwaona wakivaa hivyo alivyovaa huyo jamaa?.Nyie wamarekani wa mikocheni na mbezi mna shida sana..kila jamii na utamaduni ama sanaa yake..wewe jamii yako ya kimarekani sanaa yenu usilazimishe iwe ya kibongo
Ndio wamevaa sana..naona sanaa ya bongo hujawai kuifuatiliaHuo nimetolea mfano tu kwa manguli wa hizo kazi za uchekechaji,wabongo wapo Joti,marehemu mzee Majuto nk,uliwaona wakivaa hivyo alivyovaa huyo jamaa?.
😂 😂 😂Nani anamdhalilisha nani..
Mwambie aweke kinachomchekesha yeyeKuchekesha mtu hakuna formula. Unachoona wewe hakikuchekeshi yupo ambaye kitamchekesha, and vise versa is true
Joti na Mpoki wajawai kuvaa hivyo umezaliwa lini kwanza tuanzie hapoHuo nimetolea mfano tu kwa manguli wa hizo kazi za uchekechaji,wabongo wapo Joti,marehemu mzee Majuto nk,uliwaona wakivaa hivyo alivyovaa huyo jamaa?.
Ndio wamevaa sana..naona sanaa ya bongo hujawai kuifuatiliaHuo nimetolea mfano tu kwa manguli wa hizo kazi za uchekechaji,wabongo wapo Joti,marehemu mzee Majuto nk,uliwaona wakivaa hivyo alivyovaa huyo jamaa?.
Huo nimetolea mfano tu kwa manguli wa hizo kazi za uchekechaji,wabongo wapo Joti,marehemu mzee Majuto nk,uliwaona wakivaa hivyo alivyovaa huyo jamaa?.
...Okey,nadhani huko zamani ambako hawakuwa na ufahamu mkubwa na tasnia hiyo,kwa sasa washajua kuwa uchekeshaji sio lazima uvae manguo matambala,picha zote hizo huko zamani wakitafuta njia za kutokea,kwa sasa sidhani....Ndio wamevaa sana..naona sanaa ya bongo hujawai kuifuatilia
View attachment 1810201
View attachment 1810202