Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,706
- 4,759
Huu ni utafutaji ugaliHebu kila mtu aangalie picha hii hapa chini kisha atoe maoni yake bila hila wala inda. Huu ni uchekeshaji ama udhalilishaji??
View attachment 1809375
Huu ni utafutaji ugaliHebu kila mtu aangalie picha hii hapa chini kisha atoe maoni yake bila hila wala inda. Huu ni uchekeshaji ama udhalilishaji??
View attachment 1809375
Kwa mtazamo wako huo wa hovyo hata wezi na wanaojiuza miili yao waendelee tu ili mradi wanamake money?? Hopeless kabisa.Sema hivo hivo mwenzio anamake pesa cha msingi mkono uende kinywani.
Kaangalie wachekeshaji wa mbele huko uone. Au hata yule Kansiime wa Uganda, ushawahi muona kavua nguo jukwaani??Tuletee unaouona wewe uchekeshaji
Tuwekee hapa Mbona wanyuma umemuweka hapaKaangalie wachekeshaji wa mbele huko uone
Mkuu tukiwaacha hawa wataweza kutiana madole jukwaaniAnatafuta pesa mkuu Wala usi-panic,😀😀😂,!
Waone wanasaikolojia wakusaidie mkuuSasa pana kipi kibaya hapo
Nyie ndo sampuli ya watu waliojaa BASATA,Old skul mindHebu kila mtu aangalie picha hii hapa chini kisha atoe maoni yake bila hila wala inda. Huu ni uchekeshaji ama udhalilishaji??
View attachment 1809375
Wewe ungekuwa BASATA. Kut.omb..jukwaani ingekuwa sanaaNyie ndo sampuli ya watu waliojaa BASATA,Old skul mind
Nyie wamarekani wa mikocheni na mbezi mna shida sana..kila jamii na utamaduni ama sanaa yake..wewe jamii yako ya kimarekani sanaa yenu usilazimishe iwe ya kibongoWachekeshaji wa kibongo wanaona kuvaa malapu lapu ndiyo kuchekesha,Sinaona Stive Harvey,Cedric,Wlly smith,Martin wakifanya hupo upuuzi....Kama unajua,unajua tu..
uko too lowWewe ungekuwa BASATA. Kut.omb..jukwaani ingekuwa sanaa
Weka sanaa tuioneWewe ungekuwa BASATA. Kut.omb..jukwaani ingekuwa sanaa
Mr Bean anavuaga zote.Itakuwa wabongo Wana tatizo kwenye akili zao. Mtu na akili zake hawezi kucheka ujinga huu.
Weka mfano wa uchekeshajiMimi huwa nawashangaa wanaopoteza muda na pesa zao kwenda kuangalia huu upuuzi. Uchekeshaji sio lazima uvae vitu vya ajabu ajabu.
Laiti watu wasingeenda wangejifunza na kufanya mabadiiko, lakini kwa sababu kuna washabiki wao..... tuwaache na mambo yao ya ngoswe