SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Mpambano wa kuvuana magamba: LOWASA KIDEDEA, AWABWAGA MKAMA NA NAPE KWA KO.
Mbali na swala la Magamba na kuvuana.. Picha hizi zinanipa maswali makubwa zaidi ya mila na desturi ambazo wazee waliotakiwa kustaafu bado ndio wanashika madaraka makubwa ya chama..
Mtazame Nape alivyokuwa mdogo, halafu EL anatoa mkono kama vile hana jinsi, tazama nyuma uone vijana wanavyojichekesha wengine wakitazama jukwaa kubwa huku wakijiuliza.. WHEN?...Na jukwaa la wazee wote wanacheka sana yaani furaha tupu wakati vijana wamejazwa ujinga na huzuni ama kujichekesha wakitazama wazee wao, hakuna furaha baina yao.hapa umenena
Now nape and lowasa are good friends can work together
Nani alipotosha?Mliipotosha dhana nzima ya kuvua gamba!
Mtazame Nape alivyokuwa mdogo, halafu EL anatoa mkono kama vile hana jinsi, tazama nyuma uone vijana wanavyojichekesha wengine wakitazama jukwaa kubwa huku wakijiuliza.. WHEN?...Na jukwaa la wazee wote wanacheka sana yaani furaha tupu wakati vijana wamejazwa ujinga na huzuni ama kujichekesha wakitazama wazee wao, hakuna furaha baina yao.
Hivi hicho Kibabu cha pembeni hakifi tu!!!!. Toka shule ya msingi tumekisoma hicho, mpaka sasa tunawatoto bado tu kinaendelea kushirikishwa on serious decision du!. Vijitu vingine sijui vilizaliwa majira gani.. havichoki vipo tuuuuuu!!!
Unafiki mtupu hapo,wanapena mikono kutimiza wajibu tu.
Mkuu Invisible,ile chenji yako nakutumiaje.
OTIS.
Tulimwambia lakini hakutaka kusikia akidhani JK na EL ni maadui kumbe wamemweka sawa yeye ili aadhirike..Mkia kaaufyata siku nyingi sasa hivi ni mbwa anayecheshwa sarakasi.Kwa maani hiyo Nape ameambiwa na Mwenyeketi aukunjie mkia wake kwenye ****** kama mbwa koko na kumwangukia EL???
Haki ya nani njaa ni hatari kuliko mabomu ya nyuklia!!
Now nape and lowasa are good friends can work together
-Haliharibiki jambo!...Upo msemo kuwa "penye wazee..."