Wanitakiani
JF-Expert Member
- Apr 18, 2008
- 641
- 135
Wenye taarifa watujuze, vikao vya dodoma vimeishaje/vinaendeleaje?
kama urafiki wa mashaka vile wa simba kucheza dansi na swala huku fisi akichoma nyama
Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli (CCM), alinukuliwa akisema: "Mwenyekiti utakumbuka kwamba mimi nilishaamua kuvunja mkataba wa Richmond mapema, lakini baada ya kukupigia simu ukiwa katika safari nje ya nchi ulisema tusubiri kwani ulikuwa umepata ushauri wa makatibu wakuu wa wizara, sasa leo hii ninahukumiwa nakuitwa fisadi kwanini?".