Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Huoni wamevaa nguo na wana nguvu ya kutembea inamaana walikula chakula kinachowapa nguvu hizo.
Anaye vaa "nguo" na mwenye nguvu ya kutembea ni lazima awe analipwa ujira??!🤣
Huoni wamevaa nguo na wana nguvu ya kutembea inamaana walikula chakula kinachowapa nguvu hizo.
waliwatengeneza pia waarabu weusi wengi kweli, hao kina Faiza fox wanaosumbua jf. hao huwaambii kitu, yupo tayari kumtumikia mwarabu kwa chochote alimradi tu anakula chapati na kalumati,
Hao wanaomiliki baiskel kipindi hicho ndio waliokua matajiri eeh , ambao ulikinganisha na sasa hivi wanaomiliki mivogue c ndio
Nguo na chakula ni ushahidi wa ujira.
Matajiri haswa,nakumbuka mimi baiskeli nilinunua elfu 13 ilikuwa Avon.
-Chengshan
-Swala
-Phonex
Hapo mwafrika ststus anapekua havai kiatu😏
Malizia hana viatu na anatembea km za kutosha kwa miguu.angalia hao waarabu wana viatu na baiskeliUkiingalia hii picha vizuri ndivyo unavyopata kuujua ukweli.... Wale waliokuwa wanasema wakaazi wa Zanzibar kipindi hicho walikuwa wakiteswa na kufanywa watumwa hapo katika hiyo picha tunajionea mtu mweusi tena akiwa huru kabisa!
Mmh...mbona adi leo utumwa bado upoMwaka 1950 utumwa ulisha pigwa marufuku duniani kote.
Hao waarabu weusi ndio walikuwa wafalmewaliwatengeneza pia waarabu weusi wengi kweli, hao kina Faiza fox wanaosumbua jf. hao huwaambii kitu, yupo tayari kumtumikia mwarabu kwa chochote alimradi tu anakula chapati na kalumati,
Ww acha kutetea hao watu hujui mababu zetu walichopitia kwao..We vutu! Hebu acha uqummer! Nimeweka wazi kuwa nilimaanisha madhila yaliyokuwa yanasemekana wanayapata Wazanzibari! Acha habari zako za kisegeju!!
Waafrika wote kwenye hii picha inaonekana ni watu hohehahe hao waasia inaoneka wana nafuu ya kiuchumi na imekuwa hivyo mpaka sasa kwa tanzania waafrika (weusi) ni wa mwisho kiuchumi lakini afrika magharibi matajiri wengi ni weusi kwa mfano Nigeria top 5 hakuna mtu wa asia angalau ghana kidooogo ndo wapo waasia wachache top 5 !!!
Na akiwa peku.Ukiingalia hii picha vizuri ndivyo unavyopata kuujua ukweli.... Wale waliokuwa wanasema wakaazi wa Zanzibar kipindi hicho walikuwa wakiteswa na kufanywa watumwa hapo katika hiyo picha tunajionea mtu mweusi tena akiwa huru kabisa!
Waafrika wote kwenye hii picha inaonekana ni watu hohehahe hao waasia inaoneka wana nafuu ya kiuchumi na imekuwa hivyo mpaka sasa kwa tanzania waafrika (weusi) ni wa mwisho kiuchumi lakini afrika magharibi matajiri wengi ni weusi kwa mfano Nigeria top 5 hakuna mtu wa asia angalau ghana kidooogo ndo wapo waasia wachache top 5 !!!