Mwaka 1950 utumwa ulisha pigwa marufuku duniani kote.Ukiingalia hii picha vizuri ndivyo unavyopata kuujua ukweli.... Wale waliokuwa wanasema wakaazi wa Zanzibar kipindi hicho walikuwa wakiteswa na kufanywa watumwa hapo katika hiyo picha tunajionea mtu mweusi tena akiwa huru kabisa!
Utumwa ulishapigwa marufuku, lakini mimi nilimaanisha yaliyokuwa yanasemekana ni madhila kabda ya mapinduziMwaka 1950 utumwa ulisha pigwa marufuku duniani kote.
Ukiangalia hii picha wabantu hawana hata viatu, wengi walikua wafanyakazi wa ndani au mashambani lakini walilipwa ujira.Utumwa ulishapigwa marufuku, lakini mimi nilimaanisha yaliyokuwa yanasemekana ni madhila kabda ya mapinduzi
Waafrika wote kwenye hii picha inaonekana ni watu hohehahe hao waasia inaoneka wana nafuu ya kiuchumi na imekuwa hivyo mpaka sasa kwa tanzania waafrika (weusi) ni wa mwisho kiuchumi lakini afrika magharibi matajiri wengi ni weusi kwa mfano Nigeria top 5 hakuna mtu wa asia angalau ghana kidooogo ndo wapo waasia wachache top 5!Mwaka 1950 utumwa ulisha pigwa marufuku duniani kote.
Waasia wengi babu zao waliingia na idea za biashara. Waliuza meno ya tembo, madini na ngozi za wanyama na waliingiza sukari, nguo, mchele, unga wa ngano, sabuni na mafuta yote.Waafrika wote kwenye hii picha inaonekana ni watu hohehahe hao waasia inaoneka wana nafuu ya kiuchumi na imekuwa hivyo mpaka sasa kwa tanzania waafrika (weusi) ni wa mwisho kiuchumi lakini afrika magharibi matajiri wengi ni weusi kwa mfano Nigeria top 5 hakuna mtu wa asia angalau ghana k ndo wapo waasia wachache top 5 !!!
Acha kubadirisha Kiswahili wewe Mwarabu Mweusi wa Mchambawima!Utumwa ulishapigwa marufuku, lakini mimi nilimaanisha yaliyokuwa yanasemekana ni madhila kabda ya mapinduzi
We vutu! Hebu acha uqummer! Nimeweka wazi kuwa nilimaanisha madhila yaliyokuwa yanasemekana wanayapata Wazanzibari! Acha habari zako za kisegeju!!Acha kubadirisha Kiswahili wewe Mwarabu Mweusi wa Mchambawima!
Mtu mweusi aliyevaa gunia akiwa pekua miguuni huku Watu weupe wakivaa maridadi na baiskeli zao.Ukiingalia hii picha vizuri ndivyo unavyopata kuujua ukweli. Wale waliokuwa wanasema wakaazi wa Zanzibar kipindi hicho walikuwa wakiteswa na kufanywa watumwa hapo katika hiyo picha tunajionea mtu mweusi tena akiwa huru kabisa!
Yaani waswahili wameteswa na hawa masultan balaa, lakini hadi leo wanawwaabudu. embu cheki huyo hapo nyuma alivyochokaa ila anaona fresh tu kwasababu yupo karibu na mwarabu.
Kumbuka pia hao watu weupe ndio waliokuwa wafanyabiashara katika mwambao huo!Mtu mweusi aliyevaa gunia akiwa pekua miguuni huku Watu weupe wakivaa maridadi na baiskeli zao.
Ukiangalia hii picha wabantu hawana hata viatu, wengi walikua wafanyakazi wa ndani au mashambani lakini walilipwa ujira.
yaani waswahili wameteswa na hawa masultan balaa, lakini hadi leo wanawwaabudu. embu cheki huyo hapo nyuma alivyochokaa ila anaona fresh tu kwasababu yupo karibu na mwarabu.
Waasia wengi babu zao waliingia na idea za biashara. Waliuza meno ya tembo, madini na ngozi za wanyama na waliingiza sukari, nguo, mchele, unga wa ngano, sabuni na mafuta yote.
waliwatengeneza pia waarabu weusi wengi kweli, hao kina Faiza fox wanaosumbua jf. hao huwaambii kitu, yupo tayari kumtumikia mwarabu kwa chochote alimradi tu anakula chapati na kalumati,Hivi wewe Sky ulizaliwa wapi na kukulia wapi??---- naona unajua vyema mambo ya mwambao wa Pwani zaidi 🤣🤣.