Huyo jamaa nilikuwa namuombea apatwe na lolote kwenye kinyang'anyiro hiki.Alipokwenda Mbweni na kushauriwa na johnthebaptist agombee ubunge kupitia CCM hapa Iringa mjini, Peter Msigwa alidhani CCM wanampenda kumbe wanamtega..
Matokeo ya awali yanaonesha Msigwa hayumo kati ya wagombea watatu wa juu. Taarifa toka ndani ya CCM hapa mjini inaonesha Msigwa hawezi kuongoza au kuwa wa pili.
Nitakuwa naweka matokeo ya hapa mjini kwa kadri nitakavyokuwa nayapata.
Hivi kweli Msigwa ni wa kuiita CHADEMA ni mama wa Kambo?
KATA YA KIHESA
216 Mosses
NGAJILO 133
Nguvu 14
Msigwa 16
Islam 8
Jesca 29
KATA YA MSHINDO
MOSSES 54
NGAJILO 50
Huel 5
Jesca 3
Msigwa 2
Nguvu 2
Wanasema hana hisia chanya kwa watuJesca vipi tena mbona mitano tu ?
Maza mjuaji yule daaah 😂Wanasema hana hisia chanya kwa watu
Kapata kura 88 hapa si kashinda?18.
Kata zote kashindwa
Update.
MATOKEO YA UBUNGE KATA YA NDULI - JIMBO LA IRINGA MJINI. ( Jumla ya Wajumbe 292)
1. Nguvu Chengula 28
2. Fadhili Ngajilo 85
3. Peter Msigwa 88
4. Islam Huwel 14
5. Moses Ambwindule 29
6. Jesca Msambatavangu 47
ilikuwa kupitia CDMMsigwa anakubalika Sana Iringa Kama sio magufuli kuharibu uchaguzi angekuwa ndo mbunge hapo
Miaka yake 5 ilikuwa ni ya bure kabisa kwa Bi Jesca! Muda mwingi aliutumia kupiga tu porojo Bungeni. Nadhani anastahili kuvuna alichopanda.Jesca mbona kaachwa mbali Sana Ila Msigwa atapitishwa kwakuwa ana potential kubwa Sana .
Haya mambo yana misingi yake. Chama kilichokutengeneza na kuktangaza leo unakiita Saccos?Wamfyekelee mbali huyo andunje, mtaji wake alipokwenda CCM ilikuwa kumtukana Mbowe, baada ya Mbowe kuangushwa uenyekiti kazi yake ikawa imeishia hapo, sasa hivi ni sawa condom iliyokwisha tumika.
Kumbe mnafuatilia siasa za CCM baba lao 😂 😂PENDEKEZO.
Kwa kuwa dalili zinaonyesha wazi Msigwa(mbunge wa zamani) na Jesca (mbunge wa sasa)wote watashindwa vibaya, ni muda muafaka kuwashindanisha Msigwa na Jesca kwa kura zao, at least tupate kuona ile battle. Hivyo mleta mada, ulete update ya matokeo kwa kuzingatia battle ya Msigwa vs Jesca ili tupate angalau kicheko.
HakikaMiaka yake 5 ilikuwa ni ya bure kabisa kwa Bi Jesca! Muda mwingi aliutumia kupiga tu porojo Bungeni. Nadhani anastahili kuvuna alichopanda.
Ni kaka yakeMgajilo ndio huyu Vunjabei wa Jokate?
Mbona hamjampitisha HuwelNilimuonya sana Mchungaji Msigwa tena hapa hapa JF kwamba hawezi kushinda hata meneja wake akiwa Miraji wa Msoga 😂😂
Mwarabu wa Kilombero huyoMbona hamjampitisha Huwel