peter msigwa

Peter Simon Msigwa (born 8 June 1965) is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Iringa Town constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mchungaji Msigwa: Huwezi kutumia Risasi Kuonya Vijana

    "Mimi ni mtu wa kusema haki, mimi ni mtu wa kunyoosha maelezo, mtu wa kusema ukweli. Sasa kuna vitu ambavyo naona nikiwa upande huu, ile umimi inashindwa, naanza kuwa bata wakati natakiwa niwe eagle (tai). Sasa... hii dunia tunaishi mara moja, kwa nini uishi kwa kujisuffocate? Lakini cha pili...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Peter Msigwa: Mtoto wangu aliniuliza kama angeuawa Oktoba 29, ningeendelea kusema idumu CCM?

    Mchungaji Peter Msigwa akihojiwa kupitia kituo cha Redio cha Nuru FM, amesema; "Mimi ni mtu wa kusema haki, mimi ni mtu wa kunyosha maelezo, mtu wa kusema ukweli. Sasa kuna vitu ambavyo naona nikiwa upande huu, ile umimi nashindwa. Naanza kuwa bata wakati natakiwa niwe tai. Sasa hii dunia...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Peter Msigwa: Kama ungekuwa Mkuu wa Mkoa au Wilaya ungerudi CHADEMA?

    You were one of my favorite politician by whatever yard stick measure. Je ungelikuwa umepewa nafasi za ULAJI CCM, je ungelitoka CCM kwa sababu ya kukelwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu za CCM? NAOMBA jibu Mchungaji Peter Msigwa Soma pia Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29...
  4. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kuna machawa na vijana wa CCM wameanza kumshambulia Msigwa. CHADEMA kataeni hayo maneno, Msigwa ni hazina

    Kijana ambaye ni Chawa wa CCM, Kijana anayekula kwa Pesa za CCM, huyu hawezi kukushauri lolote kuhusu PETER MSIGWA. Mbona hawakusema kuhusu SELASINI?. Kwann Msigwa kurejea CHADEMA imekua Nongwa??. Ukweli ni kua kuanzia Samia mpaka Mwenyekiti wa Kijiji chake wanajua PETER MSIGWA NI AKILI ZA...
  5. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Karibu sana Peter Msigwa, Roho yako ni Hai kwa CHADEMA, ila Mwili ndio Ulikua Dhaifu! Akili, Uwezo, Ubunifu, Busara zako sio za kukaa CCM, Pole sana!!

    Kwa Peter Msigwa, Akili, Uwezo, Ubunifu wake ndani ya CCM Ulikua ni 'Umefungwa'. Peter Msigwa nayemfaham yeye hawezi kaa kuvumilia Watu watekwe, Kuuwawa, Kusumbua Kanisa, Kufunga wapinzani Kufungia Chama , Maisha ya Mtanzania kua Juu, Gharama kupanda ,huku Mafisadi wachache wakijineemesha ...
  6. Heparin

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Nimefikiri na kutafakari kwa muda mrefu baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki, utu na dhuluma dhidi ya uhai wa binadamu yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025. Siwezi kuendelea kuishi katika huzuni na ukimya tena. Kwa dhamira yangu binafsi, leo nimejiondoa rasmi kutoka CCM na kurejea CHADEMA kwa...
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Tawala nyingi zilizofanya mauaji ya halaiki dhidi ya raia wake ziliporomoka

    Historia ya dunia ina mifano mingi ya serikali au tawala zilizohusika katika mauaji ya halaiki dhidi ya raia wao au makundi fulani ya watu. Mara nyingi matokeo yake yalikuwa: • kuporomoka kwa tawala, • majeraha ya kizazi kwa kizazi, • migawanyiko ya kitaifa, • hukumu za kimataifa, • au viongozi...
  8. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Wenje na Peter Msigwa hata ukuu wa wilaya tu hamjapewa

    Leo hii Lijualikali ni DC, Wenje na Peter Msigwa hawana cheo chochote, hivi wanalala? Daaaa! Wenjeee, daaaaa Peter Msigwa hata UJUMBE wa nyumba kumi hamna?😊🤣😵‍💫😁😁😄😃😀
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Peter Msigwa: Watu wanakuhitaji pale tu wanafaidika na wewe

    Amekuja gundua kwa kuchelewa sana. Huyu Msigwa alitembezwa sehemu nyingi za nchi kabebeshwa picha. Kama falah, taahira na msukule. Sasa anashtuka. Too late. Na simu zake hawapokei. Hana issue tena kwa sasa. Siyo deal. Ameshadharaulika hana mbele wala nyuma.
  10. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mama wakumbuke Wenje, Mchungaji Peter Msigwa na Jerry Muro

    Mama Hawa hawakurudi ccm kwamba wanaipenda nchi au wanataka siasa safi walikuja kufata vyeo vya udc au UuRC Mama wakumbuke Hawa watu walizunguka nchi nzima kuisema chadema ilivyo mbaya na Ili Hali haishiriki uchaguzi. Wenje aliongea mpaka kujikojolea jukwaa Mzee wasukuma ndani yeye ni ccm...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Jamani Peter Msigwa yuko wapi?

    Yulo wapi? Alibeba mapicha ya Samia, wakamshikisha mapicha. Yuko wapo? Kafia wapi? Au teuzi zijazo atakumnukwa? Nani ampishe?
  12. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mlio karibu na Peter Msigwa na Wenje wambieni wavae sare za CCM za mama mitano Tena wapite barabarani waone kitakachojiri zaidi ya kuwachumu

    Je, Wenje na Peter Msigwa wakivaa nguo za CCM na kuvaa kale kakofia kalikoandikwa mama mitano Tena, tutawachumu au tutawapa zawadi gani? Mimi nitawachumu kwa busu la kenge. "Nyokorikoooooo" wewe je utawafanyaje?
  13. Fbn

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa umepotelea wapi kwenye umaarufu wa kisiasa?

    Muda mfupi sana CCM walivyokutumia kama wamekuweka kabitini kabisa. Yani ulivyoingia ulikuwa unaisema CHADEMA mpaka ukakosa cha kuongea. Shukuru jina lako la mwisho kidogo anatembea msemaji wa serikali linafanya nisikusahau. Ila umepotea vibaya kwenye medani za siasa.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Where is Mchungaji Peter Msigwa

    Hivi aligombea ubunge? CCM walimpa jimbo? I have lost track of him!!! If not so, yuko wapi? Au bado anasubiri reshuffle ya DCs/RCs anaweza kuambulia
  15. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Wako wapi akina Peter Msigwa na wasaliti wenzake walioramba matapishi wakatapikwa na machawa?

    Ni muda mrefu sijamsikia Peter Msigwa aliyetimkia CCM kuramba matapishi yake akaishia kutapikwa kwa aibu na bila huruma? Najua wapo wengi. Kwanini tusiwaorodheshe hapa lao wajione au waambiwe tunavyoachukulia chawa hawa wachafu waramba makalio ya muuaji.
  16. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Peter Msigwa: Tanzania ipo salama kwenye mikono ya CCM

    Mchungaji Peter Msigwa akiongea na wananchi wa jimbo la Ismani katika uzinduzi wa kampeni za chama cha Mapinduzi zilizo fanyika katika viwanja vya Nanenane, Kata ya Itunundu, mkoani Iringa 25 Septemba 2025 amesema Tanzania ipo salama chini ya Chama Cha Mapinduzi. Pia Soma: GE2025 - Peter...
  17. Mindyou

    JamiiForums Tanzania GE2025 Peter Msigwa: CCM kinaweza kuongoza nchi. Upinzani hawana sera

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mch. Peter Msigwa amewaomba wananchi kukichagua kwani ndicho chama chenye sera za ukombozi kwa ajili ya maendeleo ya wananchi tofauti na vyama vya upinzani. Msigwa ameyasema hayo leo Septemba 23 wakati wa mkutano wa kampeni, Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuzunguka nchi nzima, lakini kumbe Peter Msigwa alikuwa anatumiwa na CCM kama karai tu

    Wenye thamni ndani ya CCM wameteuliwa kuwa wagombea hata kama waliangukia pua kwenye kura za maoni. Mwambieni Peter Msigwa kuwa CCM Ina wenyewe, na wenyewe siyo yeye.
  19. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania GE2025 Peter Msigwa ashindwa kura za maoni Iringa Mjini

    Alipokwenda Mbweni na kushauriwa na johnthebaptist agombee ubunge kupitia CCM hapa Iringa mjini, Peter Msigwa alidhani CCM wanampenda kumbe wanamtega.. Matokeo ya awali yanaonesha Msigwa hayumo kati ya wagombea watatu wa juu. Taarifa toka ndani ya CCM hapa mjini inaonesha Msigwa hawezi kuongoza...
  20. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mjumbe CCM amuuliza Peter Msigwa kama atahama chama andapo atashindwa kura za maoni, Msigwa asema kuhama sio kosa la jinai, inategemeana na mazingira

    Mtia nia wa Ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa, leo 31 Julai 2025 amemjibu moja ya mjumbe aaliyemuuliza swali "endapo akishindwa atahama chama?" Msigwa amejibu swali hilo wakati akiomba kura za maoni kutola kwa wajumbe wa Kata ya Mtwivila.
Back
Top Bottom