GE2025 Peter Msigwa ashindwa kura za maoni Iringa Mjini

GE2025 Peter Msigwa ashindwa kura za maoni Iringa Mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Al
Nilimuonya sana Mchungaji Msigwa tena hapa hapa JF kwamba hawezi kushinda hata meneja wake akiwa Miraji wa Msoga 😂😂
Alisahau kuwa umaarufi wa awali ulikuwa wa chama cha CHADEMA. Ni kama huyu punda aliembeba YESU akasikia anashangiliwa akadhani yy ndo anashangiliwa kumbe mambo yalibainika, aliporudi ck iliyofuata alipigwa mawe ndipo alipobaini kuwa yy hakustahili sifa yyt isipokua YESU yule aliembeba
 
Al

Alisahau kuwa umaarufi wa awali ulikuwa wa chama cha CHADEMA. Ni kama huyu punda aliembeba YESU akasikia anashangiliwa akadhani yy ndo anashangiliwa kumbe mambo yalibainika, aliporudi ck iliyofuata alipigwa mawe ndipo alipobaini kuwa yy hakustahili sifa yyt isipokua YESU yule aliembeba
Hao kina johnthebaptist ndiyo waliompotosha.
 
Jesca kashidwa hata na misigwa kura
Ajabu huyu ni mtu alieshinda 2015 akakatwa kutokana na sakata la Lowassa (alikuwa kwenye hiyo team).

Karudi 2020 CCM wakasemehe maisha yaendelee akapata ushindi wa kishindo. Ndio nashangaa nini kimebadilika maana kama kuanguka sio kwa haraka hivyo hasa kwa mmbunge anaetetea jimbo kupata kura tatu kata zingine.

Wahehe sio watu kwakweli kwa jinsi walivyomgeuka mwenzao haraka hivyo.
 
Asubiri, ukuu wa wilaya. Kipimo chake sasa bibi atamtaka amkebehi/amtukane Lisu hadharani; akiweza mtihani huo uDc anao.
 
Back
Top Bottom