bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,360
Habari zenu wana JF.
Mimi ni mmoja kati ya Miderector wanao dahili wanafunzi TCU. Lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuwapa mawazo na mbinu katika uchaguzi wa vyuo kulingana na matokeo yako.
Kwani mwaka Jana wengi walijikuta wakipoteza malengo ya udaktari huku akiwa amepata dvsn three za mwanzoni wengi walikosa kwa sababu ya competition.
Njoo hapa uliza chochote nkusaidie, Ili usije kosea tena mwaka huu.
Hivi siku hizi div 3 watu wanaenda chuo kikuuu? Du elimu ya siku hizi imekuwa nyepesi sana tena mno.Enzi zetu ukipata hiyo kimbia fasta ukachukue form za maombi ya ualimu diploma na ukichelewa unawezashangaa wanakuambia eti jaribu mwakani