PCB wote mlioahirisha mwaka tukutane hapa

PCB wote mlioahirisha mwaka tukutane hapa

Si kweli Huwezi soma medicine kama hauna physics hata siku moja.
Ile maths pale ni kwa ajili ya BAM na si pure mathematics kama unayodhan haitakaa itokee.

Tatizo umekariri hivyo lakini kuna wadau tena humuhumu jamvini wanasoma MD kwa CBG pale CUHAS.

Nakushauri search humu hizo topic zipo kibao tu halafu acha kupotosha hao madogo kwa vyeo feki sijui miderector wa TCU

Mathalani:

KCMCo wao wanataka hivi kwenye guide book page 83 kwa 2014/2015 au page 95 kwa 2013/2014.

Nanukuu,"Three principal level passes in Biology,Chemistry,Physics or Mathematics."

Ina maana hiyo Maths hapo ni BAM siyo PURE kwa maelezo hayo?

We kweli miderector wa TCU.
 
Tatizo umekariri hivyo lakini kuna wadau tena humuhumu jamvini wanasoma MD kwa CBG pale CUHAS.

Nakushauri search humu hizo topic zipo kibao tu halafu acha kupotosha hao madogo kwa vyeo feki sijui miderector wa TCU

Mathalani:

KCMCo wao wanataka hivi kwenye guide book page 83 kwa 2014/2015 au page 95 kwa 2013/2014.

Nanukuu,"Three principal level passes in Biology,Chemistry,Physics or Mathematics."

Ina maana hiyo Maths hapo ni BAM siyo PURE kwa maelezo hayo?

We kweli miderector wa TCU.

Kwahyo mkuu unamaanisha mtu wa PCM anaweza kusoma MD
 
Tatizo umekariri hivyo lakini kuna wadau tena humuhumu jamvini wanasoma MD kwa CBG pale CUHAS.

Nakushauri search humu hizo topic zipo kibao tu halafu acha kupotosha hao madogo kwa vyeo feki sijui miderector wa TCU

Mathalani:

KCMCo wao wanataka hivi kwenye guide book page 83 kwa 2014/2015 au page 95 kwa 2013/2014.

Nanukuu,"Three principal level passes in Biology,Chemistry,Physics or Mathematics."

Ina maana hiyo Maths hapo ni BAM siyo PURE kwa maelezo hayo?

We kweli miderector wa TCU.

Vyuo vyote vya udaktari yupo mtu mmoja tu ambaye ni msichana anasoma MDCN katika chuo cha Cuhas,
Na ilitokea kimakosa tu ila haikustahili yule msichana kwenda MDCN.
Kwa kuwa alipata dvsn one ya CBG sasa sielewi ilikuaje hapo.
Ndo na wewe umeweka ubongo wako utandu kwamba CBG anaweza kusomea MDCN.
Si kweli ila yeye ilikuwa mistakes tu.
 
Kwahyo mkuu unamaanisha mtu wa PCM anaweza kusoma MD

Three principal level passes in Biology,Chemistry,Physics/Mathematics.

Bado hujaelewa mpaka hapo?

PCM huwezi but CBM kwa CUHAS hata KCMCo unasoma kama nilivyonukuu hapo juu.

Pure Mathematics badala ya Physics is applicable lakini baadhi ya vyuo siyo vyote.
 
Three principal level passes in Biology,Chemistry,Physics/Mathematics.

Bado hujaelewa mpaka hapo?

PCM huwezi but CBM kwa CUHAS hata KCMCo unasoma kama nilivyonukuu hapo juu.

Pure Mathematics badala ya Physics is applicable lakini baadhi ya vyuo siyo vyote.

Ngoja nkueleweshe kijana CBM au PCM awezi somea Mdcne bali ni PCB tuu.
Ile Maths walioiandika pale ni kwa ajili ya Basic applied mathmatcs na si vingnevyo.
Mfano physics umepata C ila Bam umepata A wataesabu Bam instead of physics.
umeeelewa!!!!!!????
 
Ngoja nkueleweshe kijana CBM au PCM awezi somea Mdcne bali ni PCB tuu.
Ile Maths walioiandika pale ni kwa ajili ya Basic applied mathmatcs na si vingnevyo.
Mfano physics umepata C ila Bam umepata A wataesabu Bam instead of physics.
umeeelewa!!!!!!????

Hayo maelezo yako kwenye guidebook ya TCU au ujuaji wako tu?

Weka link hapa tuone ulipoyatoa siyo bla bla tu.
 
Three principal level passes in Biology,Chemistry,Physics/Mathematics.

Bado hujaelewa mpaka hapo?

PCM huwezi but CBM kwa CUHAS hata KCMCo unasoma kama nilivyonukuu hapo juu.

Pure Mathematics badala ya Physics is applicable lakini baadhi ya vyuo siyo vyote.

Halafu hiyo combination ya CBM umeitoa wapi?
Haijaanzishwa ila umekazana CBM.
Kama ujui uliza uambiwe kabla ujapost usichokijua baba.
 
Ngoja nkueleweshe kijana CBM au PCM awezi somea Mdcne bali ni PCB tuu.
Ile Maths walioiandika pale ni kwa ajili ya Basic applied mathmatcs na si vingnevyo.
Mfano physics umepata C ila Bam umepata A wataesabu Bam instead of physics.
umeeelewa!!!!!!????

Msitake kuwapotosha watu hapa!Mimi nimemsliza form six mwaka 2004, Hizo criteria za three principal passes in Chemistry,Biology, Physics or Mathematics zilikuepo vyuo vingi tu hata kabla ya NACTE kuanza kudahili, Unataka kusema BAM kipindi hicho ilikua na principal pass?Ninao watu wangu wengi wa karibu waliosoma PCM ni Doctors msipotoshwe.Bam imeanza kuhesabiwa mwaka jana asa a principal pass!
 
Baada ya kufanya uchunguzi mdogo tu nimebaini kwamba,
casbias ni ID ya yuleyule anayejiita van dame.

Sababu:

1-Avatar zao zinafanana.

2-Date of birth kwenye profile zao zinafanana hadi mpangilio zote ni 28 October 1994(20)

3-Hoja zao kwenye comments mbalimbali ni zilezile zenye mfanano.

Huyu dogo aliweka mada humu jamvini mnamo February mwaka huu akiulizia minimum requirements za Bachelor of Medical Laboratory ya MUHAS na KCMCo lakini from nowhere amekuwa 'mideretor' wa TCU nakujifanya kujibu maswali yenu.

Kwa hiyo asiyejua anaongoza wasiojua wenzake kwa kuwa yeye ana kamwanga walau kakujitofautisha nao.

MY TAKE:
Kama ameweza kuwadanganya kuwa ni 'mideretor' wa TCU basi kuna mengi zaidi amewapotosha kwenye hayo maswali yenu so tafuteni watu wenye uelewa out there ili msipotoshwe mkapotezewa malengo yenu.

Na kwa wale aliowafariji nashauri msubirie TCU guidebook ya 2015/2016 mjionee wenyewe hizo minimum requirements.
Tyta kama hutojali unaweza tusaidia kumuumbua huyu 'mideretor' basing kwenye maelezo yangu ya hapo juu (date of birth,avatar,started thread ya casbias ile ya February)
 
Last edited by a moderator:
Halafu hiyo combination ya CBM umeitoa wapi?
Haijaanzishwa ila umekazana CBM.
Kama ujui uliza uambiwe kabla ujapost usichokijua baba.

Ona sasa ulivyo outdated.

Kijana utaumbuka bure na huo u-mideretor wako watu wako well informed humu,usidhani hii ni Facebook.

Hivi uko TCU ipi kijana?

Hujui kama kuna combinations mpya zimeanzishwa kipindi cha BRN?

Kumbe napoteza muda tu kujadili na kilaza anayejivika vyeo.
 
mm nilijua zaman Ila nikaamua kumkaushia..kuna vitu kibao amebugi huyu kijana but mm sina muda wa kuanza kubishana nae
 
Ona sasa ulivyo outdated.

Kijana utaumbuka bure na huo u-mideretor wako watu wako well informed humu,usidhani hii ni Facebook.

Hivi uko TCU ipi kijana?

Hujui kama kuna combinations mpya zimeanzishwa kipindi cha BRN?

Kumbe napoteza muda tu kujadili na kilaza anayejivika vyeo.

mm nilijua zaman Ila nikaamua kumkaushia..kuna vitu kibao amebugi huyu kijana but mm sina muda wa kuanza kubishana nae
 
Baada ya kufanya uchunguzi mdogo tu nimebaini kwamba,
casbias ni ID ya yuleyule anayejiita van dame.

Sababu:

1-Avatar zao zinafanana.

2-Date of birth kwenye profile zao zinafanana hadi mpangilio zote ni 28 October 1994(20)

3-Hoja zao kwenye comments mbalimbali ni zilezile zenye mfanano.

Huyu dogo aliweka mada humu jamvini mnamo February mwaka huu akiulizia minimum requirements za Bachelor of Medical Laboratory ya MUHAS na KCMCo lakini from nowhere amekuwa 'mideretor' wa TCU nakujifanya kujibu maswali yenu.

Kwa hiyo asiyejua anaongoza wasiojua wenzake kwa kuwa yeye ana kamwanga walau kakujitofautisha nao.

MY TAKE:
Kama ameweza kuwadanganya kuwa ni 'mideretor' wa TCU basi kuna mengi zaidi amewapotosha kwenye hayo maswali yenu so tafuteni watu wenye uelewa out there ili msipotoshwe mkapotezewa malengo yenu.

Na kwa wale aliowafariji nashauri msubirie TCU guidebook ya 2015/2016 mjionee wenyewe hizo minimum requirements.
Tyta kama hutojali unaweza tusaidia kumuumbua huyu 'mideretor' basing kwenye maelezo yangu ya hapo juu (date of birth,avatar,started thread ya casbias ile ya February)



Hata Mimi aliwahi kuniingiza chaka humu lanikampotezeatezea, Anachokifanya ni kukaa na guidebook na kucheza mind za watu.
 
Last edited by a moderator:
Haya vijana niliwaambia humu msubirie guide book ya TCU mmeona sasa.

Wale wa CBG pale AJUCO mnapiga MD yenu bila wasiwasi na hiki chuo sidhani kama kuna competition ya kutisha.

Kila la kheri vijina.
 
mkuu nilipata three ya 10 2014, physics C, chemistry B,biology B... nifanye vp kupata md au pharmacy mkuu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom