ok bro nimekupata ila kubadili course sio issue sana issue ninayoiona ni bodi wataendelea kunilipia au watasitisha,maana kama umekaa sana kitaa wanatoa kwa education na udaktar na mimi nimekaa sana na wamenipa kwa education lakini ndio hivyo nimeshachange,hapo ndio pananiumiza kichwa,coz nataka nikahamie geoinformatics au statistics lakini ualimu sio hobby yangu nitakuja kufelisha watoto wa watu bure
Mkuu matokeo yng kiujumla ni Chem C,biosC,phzD,engD,math D kwa olevel na nmemaliza form. Four 2011 nnmpngo wa kuapply clinical officer kwa vyuo vya serial VP mkuu kuna probably ya kupta na unanixhaur nn coz naipnda sana sekta ya afya...msaada wako mkuu
mkuu van dame ni kwel uliyoyasema maana hata mimi nimekuja juzi ofisi zenu nikitaka kuandika barua ya kusitisha masomo chuoni niiambatanishe na barua nyingne ya kuomba kuanza application upya ili nifutwe kwenye database ya tcu.Lakini hiyo barua naiandika kwenda kwa executive secretary wa tcu au kwa admission officer?
Nashkur mkuu kwa majib yko...nitayafnyia kaz kingine mkuu naomba kuuliza ivi kma ukipospond mwka kuna haja ya kwenda chuo ulichopangiwa kutoa taarfa ctll ujapata mkopo na kma ucpoenda kuna effect inatokea katka kuaapply upya msaada wko mkuu
Hivi hawa vijana wa CBM nafasi yao ikoje kwenye MD?
Hapa naongelea KCMC,HKMU,SUZA maana ndo vimeainisha hivyo kwenye guide book kwamba even aliyesoma Maths instead of Physics.
Competition yao na wale wa PCB kwenye hivyo vyuo ikoje?
naomba kuuliza kuwa kama matokeo ya kidato cha sita wa mwaka 2015 yatatoka na kupangwa kwa mfumo wa GPA kama ya kidato cha nne,Hayata waathiri wale wote walioahirisha mwaka kwa kusudi la kufanya application mwaka huu 2015? kwa mfumo ambao tcu watautumia kwa mwaka huu
Kwa hiyo,hiyo combination mpya ya CBM iliyoanzishwa husomi MD halafu mwenye CBG anasoma MD pale CUHAS ndani ya mfumo huohuo wa elimu.Halafu KCMCo (guide book page 83) kwenye MD wanataka:Three principal level passes in Biology,Chemistry,Physics or Mathematics"Hakuna cha subsidiary wala nini kwa maana hiyo (according to you) Maths ni Advanced not Pure?Anaposema mathematics instead of physics anamaanisha Basic Applied Mathematcs na sio pure kama unavyo dhani.Mfano physics una E ila Basc Apld Mathmtcs una B watakuesabia BAM instead of Physics but physics lazima uwe umelifanya ila isiwe umelifeli ndo maana wanaandika ni subsidiary.
Na wasiwasi na hicho cheo(kwenye red) ulichojivisha.Habari zenu wana JF.Mimi ni mmoja kati ya Miderector wanao dahili wanafunzi TCU. Lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuwapa mawazo na mbinu katika uchaguzi wa vyuo kulingana na matokeo yako.Kwani mwaka Jana wengi walijikuta wakipoteza malengo ya udaktari huku akiwa amepata dvsn three za mwanzoni wengi walikosa kwa sababu ya competition.Njoo hapa uliza chochote nkusaidie, Ili usije kosea tena mwaka huu.
Si kweli Huwezi soma medicine kama hauna physics hata siku moja.Kwa hiyo,hiyo combination mpya ya CBM iliyoanzishwa husomi MD halafu mwenye CBG anasoma MD pale CUHAS ndani ya mfumo huohuo wa elimu.
Na wasiwasi na hicho cheo(kwenye red) ulichojivisha.