PCB wote mlioahirisha mwaka tukutane hapa

PCB wote mlioahirisha mwaka tukutane hapa

cutting point za uhakika kwa MD ni 7 au zaidi. Na wewe hapo una 5, kuna vyuo kama st.francis wanachukua mpaka 5 lakini ni suala la kubahatisha.
pia kumbuka wanafunzi wa kike wanapewa priority sana kuliko boy. so if you are a girl go and try. . kinyume na hapo we ndio ujaze MD lakini angalau chaguo la pili uweke MEDICAL LABORATORY na machaguo mengine kadri unavyotaka.

Shukrani kwa ufafanuzi wako mkuu
 
Mkuu utamsaidiaje huyu dogo wa form 4 ya 2014?Ana Phys-C, Chem-C, Biolgy-D na Bmaths-B. Kati ya Clinical assistant na Clinical officer ipi bora vyuo vya serikali kwake? maana anaumizwa sana na bios maana anaitaka sana Afya.Asante.
 
Mkuu utamsaidiaje huyu dogo wa form 4 ya 2014?Ana Phys-C, Chem-C, Biolgy-D na Bmaths-B. Kati ya Clinical assistant na Clinical officer ipi bora vyuo vya serikali kwake? maana anaumizwa sana na bios maana anaitaka sana Afya.Asante.

MKuu nlikuwa nataka kujua ni kwa nini wkt unafanya selection mtu anaweza pata kozi ya mwisho kabisa ambayo alikuwa anajazia
tu
 
MKuu nlikuwa nataka kujua ni kwa nini wkt unafanya selection mtu anaweza pata kozi ya mwisho kabisa ambayo alikuwa anajazia
tu

Mkuu nachokijua mimi ni kwamba, kama uchaguzi wako wa mwanzo una competition kubwa basi computer systems zinakurushia uchaguzi wawisho, na kama ni zote zina competition waweza kosa chuo.
 
kwa matokeo haya C B+ B B+ G C ungemshauri aombe kozi zipi nzuri nje ya afya na ambazo ushindani wake sio mkubwa na zenye ajira
 
Asante MKuu hizo zote ni kozi za kilimo na vipi kuhusu kozi nyingne zinazomfaa kwa hayo matokeo ya A level
 
1.bachelor of scnce agriculture
2.agronomy
3.aquaculture.
kwa ngazi ya degree.

Mkuu swali langu lilikua hivi;Utamsaidije huyu dogo wa F4 ya 2014?Phys-C, Chem-C,Bios-D, Bmaths-B.Anataka medical, kati ya Clinical assistant certificate na Clinical officer vyuo vya serikali ipi anaweza kupata kirahisi?
 
Mkuu swali langu lilikua hivi;Utamsaidije huyu dogo wa F4 ya 2014?Phys-C, Chem-C,Bios-D, Bmaths-B.Anataka medical, kati ya Clinical assistant certificate na Clinical officer vyuo vya serikali ipi anaweza kupata kirahisi?

Ana dvsn gani?
 
Habari zenu wana JF.

Mimi ni mmoja kati ya Miderector wanao dahili wanafunzi TCU. Lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuwapa mawazo na mbinu katika uchaguzi wa vyuo kulingana na matokeo yako.

Kwani mwaka Jana wengi walijikuta wakipoteza malengo ya udaktari huku akiwa amepata dvsn three za mwanzoni wengi walikosa kwa sababu ya competition.

Njoo hapa uliza chochote nkusaidie, Ili usije kosea tena mwaka huu.

nna GPA ya 12, His "C", Kis "B". Lang "D". nisaidie niende chuo gan, faculty gan? nimemaliza 2014.
 
Kuna mdogo wangu alipata div 0 mwaka 2012..... Mwaka 2013 akarisiti chem B, bios +B, English C, math D, physics F, geog E,.... Kutokana na matokeo hayo nikamwambia dogo nenda chuo lakini dogo akakataa alisema anataka kurisiti tena, mwaka 2014 akarisiti matokeo yalivyo toka physcs +B, maths A, geog C... Akasema mwaka huu anataka kwenda chuo kusomea diploma ya clinical medicine swali langu ni hivi nacte wanaruhusu kuapply chuo mtandaoni kwa kutumia vyeti viwili??? Nimeuliza hivyo kwa sababu dogo ana vyeti viwili... Natanguliza shukrani.
 
Kuna mdogo wangu alipata div 0 mwaka 2012..... Mwaka 2013 akarisiti chem B, bios +B, English C, math D, physics F, geog E,.... Kutokana na matokeo hayo nikamwambia dogo nenda chuo lakini dogo akakataa alisema anataka kurisiti tena, mwaka 2014 akarisiti matokeo yalivyo toka physcs +B, maths A, geog C... Akasema mwaka huu anataka kwenda chuo kusomea diploma ya clinical medicine swali langu ni hivi nacte wanaruhusu kuapply chuo mtandaoni kwa kutumia vyeti viwili??? Nimeuliza hivyo kwa sababu dogo ana vyeti viwili... Natanguliza shukrani.

kimoja tu.
 
Mkuu nipe ada ya TCU na loan board, Pia nawezaje kuunga degree mi namaliza diploma mwaka huu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom