Yaaah tcu utapata ila heslb cdhani!!!
mimi nimemaliza kidato cha 4 but private candidate nina B+ ya chem,B ya bio,B ya physcs,C ya engl na kisw,nilfanya hayo tu,nataka ni apply clinical medicine vyuo vya serkal,naomba ushauri wenu.
jamaniii wakuu msaada ndugu yngu PCB akapta hv CCC zote ataweza kupata chuo cha udactari msaada wenu kamaliza mwaka jana ....... hakuapply mwaka jana ....ila mwaka huu anataka .wakuu atapata
BRN competition n hataar[
so unanishauri nin mkuu au nibadilishe kozi? nipe mwangaza mkuu mana 2013 nliapply govt nikakosa