PCB wote mlioahirisha mwaka tukutane hapa

PCB wote mlioahirisha mwaka tukutane hapa

kuna mtu alifanya usaili mwaka 2010 na akapewa mkopo ila akasoma mwenzi mmoja tu akapata matatizo akaacha chuo je akiomba tena atapewa mkopo
 
Yaaah ndo wakemia kwenye viwanda vya soda na beer.

Asante MKuu kwa ushauri wako mzuri....na hivi kama mkopo ulisitisha bodi na chuo husika ulichopangiwa haukufanya usajili je ukiomba tena unapata?
 
Asante MKuu kwa ushauri wako mzuri....na hivi kama mkopo ulisitisha bodi na chuo husika ulichopangiwa haukufanya usajili je ukiomba tena unapata?

Unapata mia% hamna kipingiza.
Kuna watu walipangiwa Mdcne mwaka jana na waliahirisha mwaka.
Cha msingi omba kozi ambazo n priority.
 
Mkuu ckuenda,ht chuo ckuenda kufanya registration

Bodi wanatuma mkopo wako chuoni kwako kila awamu.!!
Hivo ulifanya makosa kutokwenda kujiondoa kwenye system ya waliopata mikopo (heslb) hivyo jaribu kwenda wakakupemaelekezo jinsi gani ya kufanya.
 
Bodi wanatuma mkopo wako chuoni kwako kila awamu.!!
Hivo ulifanya makosa kutokwenda kujiondoa kwenye system ya waliopata mikopo (heslb) hivyo jaribu kwenda wakakupemaelekezo jinsi gani ya kufanya.

Asante MKuu kwa majibu yako mazuri....sory MKuu ni nyanja zipi nyingne kama nikisoma Bach of science in chemistry naweza fanya kazi nje ya viwanda vya soda na beer
 
sasa wanatumaje pesa chuoni wakati mimi ckuenda ht form ile ya mkopo ckusain ile wanayasainig ili waandaliwe bumu
 
sasa wanatumaje pesa chuoni wakati mimi ckuenda ht form ile ya mkopo ckusain ile wanayasainig ili waandaliwe bumu

Pesa zinakuja kwani kwenye upande w registration hamna mausiano kati ya heslb nachuo husika bali pesa zinatumwa zote za wanafunzi waliodahiliwa chuon hapo then kama mtu akwenda na alipata mkopo pesa ile anapatiwa mtu aliye appeal au anaongezewa aliepata mkopo nusu.
 
Habari zenu wana JF.

Mimi ni mmoja kati ya Miderector wanao dahili wanafunzi TCU. Lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuwapa mawazo na mbinu katika uchaguzi wa vyuo kulingana na matokeo yako.

Kwani mwaka Jana wengi walijikuta wakipoteza malengo ya udaktari huku akiwa amepata dvsn three za mwanzoni wengi walikosa kwa sababu ya competition.

Njoo hapa uliza chochote nkusaidie, Ili usije kosea tena mwaka huu.

Natanguliza shukrani,naomba ufafanuzi kidogo,hivi kama tunavojua HESLB hawatoi mikopo kwa watu waliomaliza zaidi ya miaka mitatu nyuma,labda usomee ualimu au udaktari ndio wanakupa,sasa tuseme nimeomba ualimu na mkopo wamenipa lakini nikifika chuo nikaamua kuchange course sasa hapo bodi wataendelea kunipa au watakatisha hela yao?na kama watakatisha watakatisha kuanzia muda upi mpaka umalize mwaka au on the spot,naomba msaada wenu.mimi nimemaliza form 6 2009 comb ya PCM
 
Natanguliza shukrani,naomba ufafanuzi kidogo,hivi kama tunavojua HESLB hawatoi mikopo kwa watu waliomaliza zaidi ya miaka mitatu nyuma,labda usomee ualimu au udaktari ndio wanakupa,sasa tuseme nimeomba ualimu na mkopo wamenipa lakini nikifika chuo nikaamua kuchange course sasa hapo bodi wataendelea kunipa au watakatisha hela yao?na kama watakatisha watakatisha kuanzia muda upi mpaka umalize mwaka au on the spot,naomba msaada wenu.mimi nimemaliza form 6 2009 comb ya PCM
Unaweza kubadili kozi.
Chakufanya omba eduction kwenye hicho chuo ambacho kina hiyo kozi unayoitaka kuhamia mfano UDOM ukifika Omba kuhama kozi.
Ila wataangalia kama point zako zina fiti wewe kusoma hyo kozi.
Pia wanaangalia kama nafasi kwenye hiyo kozi zipo au zimejaa.
Kwa hyo cha msingi ni wewe kuomba chuo alafu uwahi kuripoti chuon hapo ili ushughulikie process za kuhama kozi.
Kwani ukichelewa watu wanakuwa washabadili na kujaza nafasi.
 
Unaweza kubadili kozi.
Chakufanya omba eduction kwenye hicho chuo ambacho kina hiyo kozi unayoitaka kuhamia mfano UDOM ukifika Omba kuhama kozi.
Ila wataangalia kama point zako zina fiti wewe kusoma hyo kozi.
Pia wanaangalia kama nafasi kwenye hiyo kozi zipo au zimejaa.
Kwa hyo cha msingi ni wewe kuomba chuo alafu uwahi kuripoti chuon hapo ili ushughulikie process za kuhama kozi.
Kwani ukichelewa watu wanakuwa washabadili na kujaza nafasi.

ok bro nimekupata ila kubadili course sio issue sana issue ninayoiona ni bodi wataendelea kunilipia au watasitisha,maana kama umekaa sana kitaa wanatoa kwa education na udaktar na mimi nimekaa sana na wamenipa kwa education lakini ndio hivyo nimeshachange,hapo ndio pananiumiza kichwa,coz nataka nikahamie geoinformatics au statistics lakini ualimu sio hobby yangu nitakuja kufelisha watoto wa watu bure
 
MKuu me kama CBG ungenishauri nisome kozi zipi nje ya afya na zenye ajira pia
 
Mkuu matokeo yng kiujumla ni Chem C,biosC,phzD,engD,math D kwa olevel na nmemaliza form. Four 2011 nnmpngo wa kuapply clinical officer kwa vyuo vya serial VP mkuu kuna probably ya kupta na unanixhaur nn coz naipnda sana sekta ya afya...msaada wako mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom