Baada ya kufanya uchunguzi mdogo tu nimebaini kwamba,
casbias ni ID ya yuleyule anayejiita
van dame.
Sababu:
1-Avatar zao zinafanana.
2-Date of birth kwenye profile zao zinafanana hadi mpangilio zote ni 28 October 1994(20)
3-Hoja zao kwenye comments mbalimbali ni zilezile zenye mfanano.
Huyu dogo aliweka mada humu jamvini mnamo February mwaka huu akiulizia minimum requirements za Bachelor of Medical Laboratory ya MUHAS na KCMCo
lakini from nowhere amekuwa 'mideretor' wa TCU nakujifanya kujibu maswali yenu.
Kwa hiyo asiyejua anaongoza wasiojua wenzake kwa kuwa yeye ana kamwanga walau kakujitofautisha nao.
MY TAKE:
Kama ameweza kuwadanganya kuwa ni 'mideretor' wa TCU basi kuna mengi zaidi amewapotosha kwenye hayo maswali yenu so tafuteni watu wenye uelewa out there ili msipotoshwe mkapotezewa malengo yenu.
Na kwa wale aliowafariji nashauri msubirie TCU guidebook ya 2015/2016 mjionee wenyewe hizo minimum requirements.
Tyta kama hutojali unaweza tusaidia kumuumbua huyu 'mideretor' basing kwenye maelezo yangu ya hapo juu (date of birth,avatar,started thread ya casbias ile ya February)