ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,368
Ahsante ila naomba unijuze kwa ufupi tu kwann nisiombe
cutting point za uhakika kwa MD ni 7 au zaidi. Na wewe hapo una 5, kuna vyuo kama st.francis wanachukua mpaka 5 lakini ni suala la kubahatisha.
pia kumbuka wanafunzi wa kike wanapewa priority sana kuliko boy. so if you are a girl go and try. . kinyume na hapo we ndio ujaze MD lakini angalau chaguo la pili uweke MEDICAL LABORATORY na machaguo mengine kadri unavyotaka.