PCB wote mlioahirisha mwaka tukutane hapa

PCB wote mlioahirisha mwaka tukutane hapa

nauliza km chuo minimum point ni 4.5 afu ukawa na 3.5 ukiweka cha kwanza utapata?? km pale saut kwa civil engineering
 
nauliza km chuo minimum point ni 4.5 afu ukawa na 3.5 ukiweka cha kwanza utapata?? km pale saut kwa civil engineering

mpaka uwe na hzo ctpoint ndo upate.
pia inategemea na ufaulu pamoja na competition
 
vp kuhusu adimission capacity inazingatiwa ktk chuo husika,mfano wameandika 30,huwa mnazidisha??
 
mechan,civil na electr competition imekaaje na pia kwenye ajira maket imekaaje
 
wakuu msaada ndugu yangu kamaliza form six mwaka jana akapata physics C .chemistry C na biology C anataka somea MD sasa kwahzo credit atapata chuo
 
Habari zenu wana JF.

Mimi ni mmoja kati ya Miderector wanao dahili wanafunzi TCU. Lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuwapa mawazo na mbinu katika uchaguzi wa vyuo kulingana na matokeo yako.

Kwani mwaka Jana wengi walijikuta wakipoteza malengo ya udaktari huku akiwa amepata dvsn three za mwanzoni wengi walikosa kwa sababu ya competition.

Njoo hapa uliza chochote nkusaidie, Ili usije kosea tena mwaka huu.

mkuu mimi nilisoma HGE na nilipata div 2.9 economics B+, geo C, History B lakini nilisitisha kujiunga na chuo kwa mwaka jana kutokana na matatizo ya mkopo kwa mwaka huu ninahitaji kuchagua vyuo vya ardh, ud au sua vp ninaweza kufanikiwa katika hilo? lakini sio education. pia nifanye nn ili nifakiwe katika hilo?
 
mkuu mimi nilisoma HGE na nilipata div 2.9 economics B+, geo C, History B lakini nilisitisha kujiunga na chuo kwa mwaka jana kutokana na matatizo ya mkopo kwa mwaka huu ninahitaji kuchagua vyuo vya ardh, ud au sua vp ninaweza kufanikiwa katika hilo? lakini sio education. pia nifanye nn ili nifakiwe katika hilo?

unataka kuomba kozi gani?
 
ninataka kuomba land valuation kwa Aru, ud ni Bcom na Sua Agro business

ndyo ardh kuna watu wana dvsn two wapo kwnye koz nzur tu.kilichopo tulia na guide alafu fanya maamuzi sahihi pia usijaze kozi ambayo ni non priority kwan umeshakaa nyumbn ili lisjirudie tena.
 
ndyo ardh kuna watu wana dvsn two wapo kwnye koz nzur tu.kilichopo tulia na guide alafu fanya maamuzi sahihi pia usijaze kozi ambayo ni non priority kwan umeshakaa nyumbn ili lisjirudie tena.

shukrani mkuu nimeridhika na ushauri wako
 
PCB walioahirisha masomo ni wengi saana .
hata mimi ndugu yangu aliacha kusoma UDOM alichaguliwa Edctn, na alipata Phy C Chem B Biol B Bam B akarudi nyumbani Mwanza na kwa sasa ana make mkwanja tu.
Habar za Chuo kasha sahau, ila mwaka huu ataomba tena.
Mwingine nae ni PCM yeye hata chuo akuripoti baada ya kukosa Engineering alipata dvsn 1.7
Phys B Chem B+ Maths B+.
Kwa sasa wapo kitaa wana make mkwanja.
ila mwaka huu wataisoma guide vizuuuri .
Hawatabugi step tenaaaa.
 
PCB walioahirisha masomo ni wengi saana .
hata mimi ndugu yangu aliacha kusoma UDOM alichaguliwa Edctn, na alipata Phy C Chem B Biol B Bam B akarudi nyumbani Mwanza na kwa sasa ana make mkwanja tu.
Habar za Chuo kasha sahau, ila mwaka huu ataomba tena.
Mwingine nae ni PCM yeye hata chuo akuripoti baada ya kukosa Engineering alipata dvsn 1.7
Phys B Chem B+ Maths B+.
Kwa sasa wapo kitaa wana make mkwanja.
ila mwaka huu wataisoma guide vizuuuri .
Hawatabugi step tenaaaa.

owkey!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom