Mimi ni mdau nliepiga 3 ya 11 an phyC chemC na biosB mwaka jana nikawa not selected due to prgrm cmpttn cos nlijaza MD zote vyuo tafauti tafauti sasa lengo langu ni MD mwaka huu nafanyaje, piga garagaza maana ndio ndoto yangu
Archbishop ndo chaguo lako la kwanza MD.
Habari zenu wana JF.
Mimi ni mmoja kati ya Miderector wanao dahili wanafunzi TCU. Lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuwapa mawazo na mbinu katika uchaguzi wa vyuo kulingana na matokeo yako.
Kwani mwaka Jana wengi walijikuta wakipoteza malengo ya udaktari huku akiwa amepata dvsn three za mwanzoni wengi walikosa kwa sababu ya competition.
Njoo hapa uliza chochote nkusaidie, Ili usije kosea tena mwaka huu.
Mimi nilimaliza mwaka jana nilipata physcs-D.Chemistry-B Biology-B BAM-B nataka nichague MD. Kwa mlolongo huu je ntakuwa sahihi
Bugando, Archbishop, KCMC, HKUM, SFUCHAS
Naomba ushauri.
2.Kingine, wakati wa udaili munaangaliaga vitu gani vitatu muhimu vinavyo mfanya mtu awe succesfully selected?
na kingne mkuu vyuo kama st .francis...IMTU na other prvt unapewa mkopo na ukisomea MD na ajira unapangiwa or unaaplly mwnywe
ni matokeo ya level gan? hayo!
una dvs gani?