Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,387
Mimi ningekuwepo warioba ningempiga nyingi sana za kichwa huyu mzee kapoteza mwelekeo anafaa kuzomewa.
Mimi ningemtia madole kabisa.
Mimi ningekuwepo warioba ningempiga nyingi sana za kichwa huyu mzee kapoteza mwelekeo anafaa kuzomewa.
Ni lazima watanzania wote tuungane kukataa dhuluma na uhuni aliyefanyiwa waziri mkuu mstafu sinde warioba bila kujali itikadi zetu
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
kelele we bi kiroboto kama kutumika unatumika wewe nyoooo muwa we ukishaliwa unatemwauna ushahidi kuwa makonda kampiga warioba? Kama unampenda huyo babu wako si ungeenda jana kumlinda na kumtetea? Umejaa unafiki tu na ufedhuli kama dada changu. Haya ndo madhara ya kutumika. Yaani hadi unatia huruma. Utatumika wee mwisho wa siku unatupwa jalalani
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
Mkuu.Mimi ningekuwepo warioba ningempiga nyingi sana za kichwa huyu mzee kapoteza mwelekeo anafaa kuzomewa.
Acha kujipa sifa ambazo hazipo. Laana ya kutumikia mafisadi inakuandama.
Kwani wewe u ajua nini zaidi ya kutumika tu na mafisadi?
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
labda anamtetea MAMA AKO NA BABA AKO SIO SISI VIJANA TUNAOJITAMBUA
Hata mimi nimemsikia asubuhi akihojiwa clouds FM, PB kuwa ameitisha press conference ili aweze kuzungumza kilichotokea.
Clouds kama kawaida yao naona wamempa airtime Makonda ili ajitetee mbele za watu.
jamani haya mambo ni uhalisia kweli maana wengine hatukuona kabisa