Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Asitoke salama naye.......mwambieni kabisa asije mara
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju

Mkuu unakosea sana sana sana!!!! Haiwezekani akili yako iko sawa.
 
Una ushahidi kuwa Makonda kampiga Warioba? Kama unampenda huyo babu wako si ungeenda jana kumlinda na kumtetea? Umejaa unafiki tu na ufedhuli kama dada changu. Haya ndo madhara ya kutumika. Yaani hadi unatia huruma. Utatumika wee mwisho wa siku unatupwa jalalani

We ndo unatumika mkuu!! Makonda ndo mumeo au ndo basha wako?! Manake unatetea kila mahali!
 
Njoo mkoa wa mara wewe paul makonda hakuna karibu huku.
 
Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa

Asubuhi kwenye PB Makonda alisema yuko jim au ndio matokeo ya kutandikwa mbavu . Huyu jamaa nidhamu ziro. Ameacha kumtukana Lowasa siku hizi amemrukia Mzee Warioba.
 
kwani aliepigwa ni warioba au makonda? naskia makonda nae kachapwa mpaka kaomba msaada
 
Salama ya Makonda nipale alipoenda kujiegesha karibu na Mzee Warioba, vinginevyo jana Makonda wangemuua kwaujinga alioratibu
 
Mine nasema kama ingekua kuomba2 kwa mungu! Basi ningeweza kusema ile ajali iliyo tokea Kule Arumeru na kumuua yule DADA basi niafadhari inngeli mpata kijana mchochezi makondakt. Maana tutakuwa tumetua mzigo WA kuliangamiza taifa hili.Na alaaniwe makonda kwa mpiga mzee warioba kwa sababu2 kasema kweli WA like walicho vulunda bmk
 
Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa

Viongozi wote wa zamani wametulia, huyo mzee wetu warioba atakuwa ana matatizo sio bure, huwezi acha mzee mwenye heshima kama warioba atumike kama taulo la gesti, aliyemvunjia heshima warioba sio makonda bali nyinyi whu wa ukawa mnaotaka kumharibia huyo mzee sifa na heshima yake. na yeye mwenyewe kwa umri aliokuwa nao ni umri wa kukaa nyumbani na kutoa mawazo tuu, ili aendelee kuheshimika, siasa za majitaka hizi na kupendelea upande mmoja inamharibia jina na kikubwa anaiabisha familia yake.

YEYE KAMA MWENYEKITI MSTAAFU WA TUME ALITAKIWA AKAE KIMYA ASIEGEMEE UPANDE WOWOTE. KAMA ALIONA RASIMU YAKE YA KATIBA IKO SAWA NA HAIITAJI MABADILIKO ANGETOA MAPENDEKEZO TUIPIGIE KURA MOJA KWA MOJA NA ISIENDE BUNGENI.

Rasimu inamaanisha sio mwisho inaweza kuongezwa au kupunguzwa vitu mwisho wa yote itarudi kwa wananchi yeye anaipinga kama nani? asubiri atumie demokrasia yake kama mtanzania aikatae itakapoletwa kwetu wananchi tuamue. otherwise atulie tu, mwisho wa ubaya aibu,anataka kuibomoa CCM mwisho wa yote na utu uzima ule anaaibika tena Nchi Nzima na dunia wanaona live.

HATA MUMPONDE MAKONDA KWA KIASI GANI AIBU ALIYOIPATA WARIOBA NI YA KUJITAKIA NA HAITAKUJA KUFUTIKA MILELE. KWELI NJAA MWANAHARAMU NYERERE ALIACHA MVI NA UZEE KAMA BUSARA NA KIMBILIO LA WENYE KUHITAJI MSAADA WA FIKRA LEO HII MIZEE YETU IMEJAA MVI KICHWANI NA BUSARA ZAO WANATUMIA KUHAMASISHA VURUGU.
 
Mbona sijaona alichofanya Makonda kwenye vurugu zile, mbona anaongelewa sana humu?

Kwa kawaida huwezi ona manake unavifungo si bure mpaka ufanyiwe maombi makonda hana ad.abu pamoja na wote walioshiriki ule uhuni laana itawafuata mpaka wanaingia kuzimu kama hawatatubu .
 
Mkuu, kwani na wewe unaungana na kibo10?
Huyu Makonda lazima atakuwa amevuta bange, inakuwaje kijana mzima anapiga mtu mwenye umri kama baba yake.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Mtu yeyote anayejiheshimu na ambaye yupo responsible hawezi kukaa kimya akiona wapuuzi wanachezea mchakato wa sheria mama ya nchi na yeye yupo katika position ya kueleza ukweli !

Akinyamaza kimya ndio atakuwa mpuuzi !. Na kwa sababu yeye sio mpuuzi hawezi kukaa kimya !. Nyerere ni kati ya watu ambao walikuwa hawakai kimya watawala walipokuwa wanaboronga. Pamoja na kwamba hakuwa madarakani alikuwa anasema.

Warioba kama Mwenyekiti ya Tume iliyokusanya maoni, na kiongozi mkubwa mstaafu, hawezi kuacha wapuuzi wachache waharibu nchi tena kwa kutumia mgongo wake kwamba 81% ya maoni imetoka kwenye Rasimu yake. Akikaa kimya maana yake anakubaliana nao.....

Walioleta vurugu wanataka akae kimya kama wewe unavyotaka.....Uzuri ni kwamba hawezi kutishika na propaganda za kitoto....Ataendelea kutoa elimu......na ataendelea kuheshimiwa na watanzania walio wengi kwa uzalendo wake !

Viongozi wote wa zamani wametulia, huyo mzee wetu warioba atakuwa ana matatizo sio bure, huwezi acha mzee mwenye heshima kama warioba atumike kama taulo la gesti, aliyemvunjia heshima warioba sio makonda bali nyinyi whu wa ukawa mnaotaka kumharibia huyo mzee sifa na heshima yake. na yeye mwenyewe kwa umri aliokuwa nao ni umri wa kukaa nyumbani na kutoa mawazo tuu, ili aendelee kuheshimika, siasa za majitaka hizi na kupendelea upande mmoja inamharibia jina na kikubwa anaiabisha familia yake.

YEYE KAMA MWENYEKITI MSTAAFU WA TUME ALITAKIWA AKAE KIMYA ASIEGEMEE UPANDE WOWOTE. KAMA ALIONA RASIMU YAKE YA KATIBA IKO SAWA NA HAIITAJI MABADILIKO ANGETOA MAPENDEKEZO TUIPIGIE KURA MOJA KWA MOJA NA ISIENDE BUNGENI.

Rasimu inamaanisha sio mwisho inaweza kuongezwa au kupunguzwa vitu mwisho wa yote itarudi kwa wananchi yeye anaipinga kama nani? asubiri atumie demokrasia yake kama mtanzania aikatae itakapoletwa kwetu wananchi tuamue. otherwise atulie tu, mwisho wa ubaya aibu,anataka kuibomoa CCM mwisho wa yote na utu uzima ule anaaibika tena Nchi Nzima na dunia wanaona live.

HATA MUMPONDE MAKONDA KWA KIASI GANI AIBU ALIYOIPATA WARIOBA NI YA KUJITAKIA NA HAITAKUJA KUFUTIKA MILELE. KWELI NJAA MWANAHARAMU NYERERE ALIACHA MVI NA UZEE KAMA BUSARA NA KIMBILIO LA WENYE KUHITAJI MSAADA WA FIKRA LEO HII MIZEE YETU IMEJAA MVI KICHWANI NA BUSARA ZAO WANATUMIA KUHAMASISHA VURUGU.
 
Asubuhi kwenye PB Makonda alisema yuko jim au ndio matokeo ya kutandikwa mbavu . Huyu jamaa nidhamu ziro. Ameacha kumtukana Lowasa siku hizi amemrukia Mzee Warioba.
Huyu bwana ana vimba kuchwa madaraka bado hawajashika. Wakikamata madaraka sihui itakuaje!
 
Viongozi wote wa zamani wametulia, huyo mzee wetu warioba atakuwa ana matatizo sio bure, huwezi acha mzee mwenye heshima kama warioba atumike kama taulo la gesti, aliyemvunjia heshima warioba sio makonda bali nyinyi whu wa ukawa mnaotaka kumharibia huyo mzee sifa na heshima yake. na yeye mwenyewe kwa umri aliokuwa nao ni umri wa kukaa nyumbani na kutoa mawazo tuu, ili aendelee kuheshimika, siasa za majitaka hizi na kupendelea upande mmoja inamharibia jina na kikubwa anaiabisha familia yake.

YEYE KAMA MWENYEKITI MSTAAFU WA TUME ALITAKIWA AKAE KIMYA ASIEGEMEE UPANDE WOWOTE. KAMA ALIONA RASIMU YAKE YA KATIBA IKO SAWA NA HAIITAJI MABADILIKO ANGETOA MAPENDEKEZO TUIPIGIE KURA MOJA KWA MOJA NA ISIENDE BUNGENI.

Rasimu inamaanisha sio mwisho inaweza kuongezwa au kupunguzwa vitu mwisho wa yote itarudi kwa wananchi yeye anaipinga kama nani? asubiri atumie demokrasia yake kama mtanzania aikatae itakapoletwa kwetu wananchi tuamue. otherwise atulie tu, mwisho wa ubaya aibu,anataka kuibomoa CCM mwisho wa yote na utu uzima ule anaaibika tena Nchi Nzima na dunia wanaona live.

HATA MUMPONDE MAKONDA KWA KIASI GANI AIBU ALIYOIPATA WARIOBA NI YA KUJITAKIA NA HAITAKUJA KUFUTIKA MILELE. KWELI NJAA MWANAHARAMU NYERERE ALIACHA MVI NA UZEE KAMA BUSARA NA KIMBILIO LA WENYE KUHITAJI MSAADA WA FIKRA LEO HII MIZEE YETU IMEJAA MVI KICHWANI NA BUSARA ZAO WANATUMIA KUHAMASISHA VURUGU.

In short kama ulivyompumbavu wa kumsikiliza MAKONDA na SITTA kwa vitendo vya vya kihuni basi na sisi ni wajinga wakutaka kumsikiliza WARIOBA na TEAM yake.Tuachieni uhuru wa kusikiliza full stop.Hutaki funga TV na redio lala.

Nchi hii siyo ya CCM tu ya kwetu wote.

Hao manowashabikia wanamaliza maliasili zetu nyie mmekaa mnakenua tu meno.
 
hivi kuna mwandishi wa kumsikiliza makonda ? Nitashangaa sana !
 
Na nyie vijana mliokuwepo mlishindwa kumvunja japo kamguu huyo Makonda ili apate shule kamili kwamba watanzania tunahaki ya kusikiliza tumpendaye na siyo wakipendacho wao CCM.
 
Back
Top Bottom