minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,421
- 22,433
Kwani Paulo Mukundu hajapelekwa Polisi?
Polisi ccm ? au polisi wapi?
Kwani Paulo Mukundu hajapelekwa Polisi?
Hivi hii id mnatumia watu wangapiii????
Funguka mkuu!Kumbe Na Wewe Umeshamshtukia Mkuu? Hata Rizmoja Yumo Humu Na Anachangia Mno Uzi Huu Je Umeshamjua au NIFUNGUKE?
Hivi hii id mnatumia watu wangapiii????
Akiendelea tena apigwe tu anatuwangia tu huyu mzee kweli ukiwa mnafiki ujanani, uzeeni unakuwa mwanga na hili warioba ametuthibitishia
Jamani Hakuwa Tu Waziri Mkuu Bali Alishawahi Pia Kuwa Makamu Wa Rais Wa Nchi Hii. au Mmesahau Wakuu Wangu?
Huyo PM Wala Asikupe Na Asikupeni Taabu Kwani ATAKACHOKIPATA KUTOKA KWA WANA MKOA WA MARA NADHANI KITAKUWA NI FUNDISHO KWA WENGINEO WOTE HAPA NCHINI TANZANIA. Huwezi KUTUDHALILISHIA POTI WETU Halafu WANA MUSOMA TUKAKUNYAMAZIA. Na TUNAMPA PM SIKU 3 TU ZIJAZO KUMWOMBA RADHI MZEE WARIOBA na PIA KUWAOMBA RADHI WATANZANIA Kwa UJUMLA na ASIPOFANYA HIVYO AJUE KUWA VISASI WA WANA MARA HAVIISHI HARAKA na TUTAMLIA Denge HADI ATATAFUTA MWENYEWE SUMU. Na MIMI KILICHONIUMIZA KUPITA KIASI NI KITENDO CHA YULE MAMA WA WATU KUPIGWA MTAMA MZOBE MZOBE na KUPIGWA ZILE NGUMI. Mama wa Watu YULE ALIWAKOSEA NINI? Mimi Na UBALOTELI na USUAREZI Wangu ( UTUKUTU ) HUWA NAWAHESHIMU SANA AKINA MAMA na WAZEE.
Kwani wewe u ajua nini zaidi ya kutumika tu na mafisadi?
Hivi zile vurugu ziliandaliwa ili kumchafua Makondan nini? Bora kijana mtetezi wa vijana maskini aweke mambo hadharani.
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
Hiyo press conference imefanyika?
Acha ujinga bwana..ni wapi ulipo ushahidi wa aidha picha au video inayoonyesha anaponda chupa au anarusha ngumi..acheni kubambikiza upuuzi wenzenu...anaweza akawa na mapungufu yake mengine lakini kwenye hii incident sio sawa mnavyochomekea..ni katika hali hii watanzania wengi wanawaona chadema na wafuasi wenu mnapoteza credibility ya kupewa hii nchi..Anachafuliwa au ujinga wake na u.p.mbavu wake ndiyo unamchafua, kama ana akili timamu atawezaje kumpiga mzee kama Warioba......imeandikwa kwewnye biblia, yoyote yule ampigaye babayake atalaaniwa milele....
Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa
Heshima gani unayo wewe mbona mtei na bob makani mmeshindwa kumheshimu mtaweza kumheshimu warioba wanafiki nyie.Salaam!
Wakuu kuna tetesi zimeanza kuenea kuwa leo Paul makonda anataka kufanya press Conference ili kujisafisha na tuhuma nzito zinazomkabili kuhusu kumpiga mzee wetu waziri mkuu mstaafu jaji Joseph Warioba,Hii ni dharau kwa taifa na watu wake tuhamasishane kupitia hapa na kuwaomba wahariri wote wagomee kwenda kumsikiliza huyu bwana mdogo kama tetesi hizi zitakuwa na ukweli ndani yake.
Nawasilisha!