MIZANIA TZ
JF-Expert Member
- Sep 22, 2024
- 699
- 369
🤣 🤣 🤣Wabongo bana! Tayari tunajua siri zote za Vatican na za wakubwa!😀😀😛
🤣 🤣 🤣Wabongo bana! Tayari tunajua siri zote za Vatican na za wakubwa!😀😀😛
Najua.Mkuu je, kama kinyume chake ndio sahihi inakuwa je? Je wajua Kanisa Katoliki lilishawahi kuwa mbwa mwitu na kula kondoo wake vibaya mno?? Kasome historia yake.
Mkuu ni kweli walirithi nguvu za kidola kutoka rumi, tuambie na utuonyeshe walioridhi nguvu za Mungu ili tufanye ulinganifu sawa!Tunajua ni nguvu za kidola,waliyoirithi toka kwenye utawala wa kipagani wa kiroma ila sio Nguvu za Mungu
🤔 🤔 🤔 💭Huo ukuu wake uko wapi kama anashindwa kutenda mambo yake mwenyewe hadi ategemee watu?
🙋✍️🎯👍👌👏👊🤝🙏Waovu wanashangiliwa kwa uovu wao kwa sababu watu wema wamejaa uoga .
Hivi adui wa Watanzania kwa sasa ni mashoga au watekaji wasiojulikana .
Waafrika wamejawa na madhambi chungu nzima kama wizi wa mali za umma,ugaidi ,utekaji ,uuaji,uchawi ,mauaji uzinzi , unafiki ,uongo na dhulma lakinav~[
Yaani kwa mfano wewe unataka Papa kazi yake iwe ni kujibu maswali ya ushoga na kutoa kauli kali kwa mashoga duniani wakati kila nchi ina sheria zake ?
Tamko la vatikani linatakiwa kutolewa kwa hekima kubwa sana maana linakua ni mwongozo wa kanisa.
Shoga kwa mfano akija Kanisani kuombewa wewe ungekuwa padri ungemfukuza ?
Na ukumbuke mashoga wa Ulaya sio kama wale wanaonuka ukurutu kule Zanzibar na Kibindoni na Manzese . Ni watu ambao huwezi kuwadhania mpaka wajitambulishe. Amekuja fadha niombee kwa Mungu maana na mimi ni kiumbe cha Mwenyezi Mungu ? Je, ungekataa ?
Je, Sio Mungu mwenye kila kitu lakini hakumuua shetani na alimsikiliza alipoomba kuwa niachie niwajaribu hawa binadamu ili nipate wakwangu?
Kama Mungu alimpa shetani ruhusa ya kile alichoomba Papa ni nani aweke kanuni za kuwafukuza na kuwanyanyasa wanaotaka kuombewa ?
Yaani sasa mnataka pawe na tamko kuwanyanyasa watu Wanaotuhumiwa kwa ushoga dunia nzima ?
Kwa nini mabunge yenye dhamana hiyo yasitunge sheria kulingana na tamaduni zao? Lakini pia Wezi kwa mfano wa pesa za wizara ya Afya ni hatari kuliko Mashoga maana wanasababisha maelfu na Malaki ya watu wanakufa kwa kukosa huduma ya Afya .
Magaidi mfano wanaoua watu kule Nigeria ,Kongo ,Palestina ni hatari kwa jamii nzima kuliko ,mashoga ambao kimsingi huko kwa wazungu ni kama igizo fulani linachezwa ili waafrika waige na kupunguza kizazi cha Mwafrika .
Anajitokeza tu Tajiri mmoja na mtu maarufu huko Ulaya anajitangaza kuwa ni shoga . Lazima tujiulize ni shoga kweli au kuna igizo hapo kwa nini ajitangaze halafu anaowatuma huko Afrika wanakuja kwa kificho ?
Mkuu biblia halisi ipo ndani ya Kanisa Katoliki, itafute uisome vizuri, usihangaike hizi ambazo zipo so much adulterated.Najua.
Kitabu cha Ufunuo kimeandika habari za kanisa la Leodacia. Yesu ameita kanisa hili kuwa ni vuguvugu...na akalitapika. Matendo ya leo ya kanisa kimizania ni Leodacia 100%. Tafakari
Vilaza wa bongo mafisadi na watekaji wanaonekana ni watu bora kwenye jamii huku mashoga wakionekana ni mashetani.Watu wanatetea haki za kiutu za mashoga kama walivyo binadamu wengine.
Siyo kwamba wanakubaliana na hizo tabia za kishoga.
Kuna watu wanajihalalisha kuua mashoga.
Sasa inakuwaje mashoga wawe wadhambi ila wauaji wasiwe tatizo.
Hapa siyo dini ni masuala ya utu tu.
CCM hampendi kuheshimu haki za kila mtu.Kwenye hotuba yake ya kwanza tu anasema "kuheshimu haki ya kila mtu"
Hilo tu tayari inaonesha ni mtu wa aina gani.
KOHIYO TUTEGEMEE KUAMBIWA KUPIGANA PIPE NI SAWA SIO?Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.
Ndiye ndiye aliekuwa mshauri mkuu WA papa Francis aliyefariki, na wakatoliki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokuwa akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.
Na kwa kuzingatia msimamo thabiti wa papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu wa namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.
Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.
KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.
Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.
TUMEKAMATIKA TENA😢
Akili za wabongo ni kushabikia mpira na harakati za kupinga ushoga tu.Acha kuongea mambo kwa kufuata mkumbo, ushoga una hatahari gani kwenye maisha yako ya kila siku mpaka ushupaze shingo? Wanaume wote wakiwa marijali wewe utawatafutia k..ma?
Kanisa ni moja ❌Kanisa ni moja
Kanisa ni takatifu
Kanisa ni katoliki
Kanisa ni la mitume
Mkuu mbona watu wanafanya hayo mambo toka enzi za Rutu, sio jambo jipya labda kwako.KOHIYO TUTEGEMEE KUAMBIWA KUPIGANA PIPE NI SAWA SIO?
🤣 🤣 🤣Akili za wabongo ni kushabikia mpira na harakati za kupinga ushoga tu.
Dunia hii watu walishafilimbana tangu zamani haya tunayoyaona ni machache laiti tungekuwa na uwezo wa kuingia kwenye vyumba vya watu basi tungehamia Mars hali sioMkuu mbona watu wanafanya hayo mambo toka enzi za Rutu, sio jambo jipya labda kwako.
Mkuu halizami kwanza ndio limepata boti mpya yenye mfumo wa gyroscope! Sema jambo lingine!Mpwa kabisa katoriki linazama
😂😂😂🔊Acheni kujipendekeza kwenye dini za watu mroma gani wewe uko kaburanzwiri.