Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekuwa mshauri mkuu WA papa Francis aliyefariki, na wakatoliki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokuwa akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti wa papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu wa namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
Rudi kwenye kauli tata.Hebu weka hizo kauli tata tujadili hapa.
 
Ni suala la muda tu, mnaandaliwq kisokolojia, siku mkitamkiwa kua ni ruksa kua punga msighafirike bali mlitetee kanisa.😀😀😀

Wakatoriki wengi maandiko ni chenga, ila kulitetea kanisa sasa, wanalitetea kinoma kwa kila baya.
🙋✍️🎯👍👌👏👊🤝🙏
 
Sisi shithole Countries kwa sasa tu struggle kwanza na wellness yetu, Haya mambo ya Ushoga kwetu sio agenda mana bado tunachangamoto nyingi sana za Kushugulikia Ivo haina haja ya Kuyapa airtime hayo mambo kwa sasa
 
Kinachonitia hofu zaidi ni media za Magharibi kufurahia sana.

Ila kwenye mafundisho ya msingi mtazamo wake mpaka sasa (kama hatabadilika) ni kupinga utoaji mimba, ndoa za jinsia moja, n.k.

Vyovyote itakavyokuwa, milango ya kuzima haitalishinda Kanisa la kweli lililoachwa na Kristu.
Mkuu yesu hakuacha Kanisa, aliacha Sinagogi ambalo tafsiri yake ni Msikiti.

Na kwa taarifa yako Yesu hakuwahi kuwa Mkristo na wala hakuanzisha ukristo!

Usipotoshe watu!
 
Mkuu yesu hakuacha Kanisa, aliacha Sinagogi ambalo tafsiri yake ni Msikiti.

Na kwa taarifa yako Yesu hakuwahi kuwa Mkristo na wala hakuanzisha ukristo!

Usipotoshe watu!
Kanisa ni nini?

Ukristu ni nini?
 
Ushaambiwa ndiye alikua mshauri mkuu WA papa Francis, Hata ajenda za ushoga alizokua alizitamka Kila mara, tunapaswa kuamini aliemshauri ni yeye.

Maana hakuwai kujiuzulu wadhfa wake (Kama mshauri mkuu) Wala kuzikemea Kwa cheo chake kingine (Kama kiongozi mkuu wa makardinari)
Mshauri wa mama ni nani kwa mfano?
 
Yule papa alikua anaboa sana kauli zake, huyu nae akifata nyayo mshumaa uzime tu kwakweli.....inakera
Lakini tulimuita baba mtakatifu na atabaki kuwa mtakatifu, haya mambo bwana ngoja tuone
 
Mimi ni mkatoliki ila toka walitoa historia ya mapapa kutokea Africa eti ni watatu ambao kabla dunia ilikuwa haijaumbwa nilichoka weee mwafrica gani alikuwa papa mwaka wa 300s mara mwaka wa 190s sijui hukoooo afu saivi mchakato ukifanyika hakuna kadinali mweusi anayepata huo moshi mweupe hahahhaa haya mambo ngoja tuonee DeepPond
 
Mimi ni mkatoliki ila toka walitoa historia ya mapapa kutokea Africa eti ni watatu ambao kabla dunia ilikuwa haijaumbwa nilichoka weee mwafrica gani alikuwa papa mwaka wa 300s mara mwaka wa 190s sijui hukoooo afu saivi mchakato ukifanyika hakuna kadinali mweusi anayepata huo moshi mweupe hahahhaa haya mambo ngoja tuonee DeepPond
Wew sio mkatolin , wew ni muasi wa iman yako ya asili ya Afrika na unajificha kweny ukatoliki

Huez kuwa mkimbiz ukapewa madaraka ukimbiz unless iyo nchi iwe failed state
 
Mimi ni mkatoliki ila toka walitoa historia ya mapapa kutokea Africa eti ni watatu ambao kabla dunia ilikuwa haijaumbwa nilichoka weee mwafrica gani alikuwa papa mwaka wa 300s mara mwaka wa 190s sijui hukoooo afu saivi mchakato ukifanyika hakuna kadinali mweusi anayepata huo moshi mweupe hahahhaa haya mambo ngoja tuonee DeepPond
Mie swala la waafrica kuenguliwa hata halinishtui, waafrica sisi tabia zetu tunazijua 😂😂😂 ni zile zile kwa mtu wa kawaida ni zile zile kwa viongozi...... Tuondolewe tu hadi pale tutakapouwa na tabia zinazofaa 😂
 
Alisema mashoga ni binadamu sawa na wengine, ni watu waliochagua starehe yao, tusiwatenge.
 
Mkuu usisahau historia ya mara kadhaa ya viongozi wa Kisabato walivyofilisi waumini wao na maelfu kufa kwa uongo wa kalenda ya kurudi kwa Yesu Kristo.
Hao walikuwa wasabato au baptists? Fuatilia.
 
Back
Top Bottom