Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

Tambua democrat ndio waliruhusu ushoga ila republic hawaruhusu ushoga tofautisha coz republic ni wainjilisti zaidi acha kulopoka wewe
 
Mkuu deepPond salaamu na heshima zikufikie, ndugu yangu napenda nikuulize swali hili.

Hatuombei na Mungu aepushilie mbali ila kwa mfano ndio imetokea, Mwanao Kawa shoga, utafanya nini??

Mkuu utamuombea, utamtupa/tenga au utamuua???

Hivi Mkuu ulisha wahi kujiuliza swali hili?

Mkuu kanisa ni hospitali ya wadhambi! Kama ilivyo hospitali kutochagua wagonjwa hali kadhalika Kanisa nalo pia halichagui au kubagua wadhambi.
Kabla hajafikia kua shoga, tayar atakua ashajutia dalili za huo Ushoga anaouelekea
 
Naongelea Imani yangu, (Roman Catholic), waislamu wataongelewa na waislamu wenzao
Kwan papa ni kiongoz wa waroma au waislam ? Mbona huangaiki na masheikh wanaosapoti mauaji ya watoto huko Somalia kwa kukusanya wapiganaj hapa kwetu na kuwapeleka Somalia kupigana
 
Nadhani
YAANI WAKATI MNAHANGAIKA TOKA JANA NANI PAPA ANAEFWATA

MWENZENU TRUMP ALiKUA ANAWACHEKA NA MOSHI WENU AISEE HIVI SASA WATUPE WA BLUE HIZI NYEUSI NYEUPE ATUTAKI TENA

Nahisi alikuwa anaulizia hamjamalizanaa pls fastaa

Trump de tarrif. De la Pope
ndio maana wanalishwa viapo vya Siri huko kwenye uchaguzi wao. Hakuna uchaguzi huko ni maagizo tu zamu hii ni Fulani. Ile kuchoma makaratasi yaliyotiwa chemicals ili yatoe Moshi mweusi na hatimae mweupe ni geresha tu ile inaitwa BABAISHA BWEGE.
 
TAfafhali, Nielimishe hapo mkuu
Mkuu hivi umewahi kujiuliza ni kwanini kanisa katoliki linaitwa "Roman Catholic" wakati Yesu hakuwa mrumi wala hakuna mtume yoyote wa Yesu aliekua anatokea Rome?

Ukipata majibu ya hilo swali utaelewa Roman Catholic ni taasisi ya aina gani na malengo yake ni yapi hapa duniani.
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekuwa mshauri mkuu WA papa Francis aliyefariki, na wakatoliki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokuwa akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti wa papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu wa namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
Hata wiki moja hana, tayari ushatoa hitimisho kuhusu misimamo yake.
 
Njoo uvae abaya,achana na wahuni wanaojipa utakatifu wakati Wana dhambi kedekede,papa aliyefariki alikua baunsa wa night club huko Bueno saires argentina,akaleta mambo ya night club vatican kwa kushajiisha uchoko
Huko kwenye Abaya ndiyo kuko salama?
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekuwa mshauri mkuu WA papa Francis aliyefariki, na wakatoliki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokuwa akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti wa papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu wa namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
Mkuu mie hata kanisani nilishaacha kuhudhuria kitambo sana.
Nasalia nyumbani na sadaka napeleka kwa wahitaji directly.
 
Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani.

Ndiye ndiye aliekuwa mshauri mkuu WA papa Francis aliyefariki, na wakatoliki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokuwa akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla.

Na kwa kuzingatia msimamo thabiti wa papa aliefariki kwenye ajenda hizo, Basi Tutajua kabisa mshauri wake mkuu alikua ni mtu wa namna gani, ukzingatia marekani (atokako) majimbo mengi ishu za mashoga na ushoga vimeruhusiwa rasmi.

Binafsi Kama mkatoriki mzalendo, baada ya uchaguzi huu nafasi yangu imekosa Nuru kabisa, na Moja Kwa Moja najua hapa, kanisa katoriki Africa tumepigwa tena.

KIUHALISIA,
Huyu papa LEO XIV Anakuja Kuendeleza alikoishia papa Francis aliefariki, yaani kuhalalisha Ushoga na kubariki mashoga.

Nimeamini, Masupa pawa (maboss WA New world order) wakishaamua jambo lao, ni ngumu Sana sisi (shit hole countries) kuchomoka.

TUMEKAMATIKA TENA😢
sio katoriki ni katoliki,na kanisa katoliki haliungi mkono ushoga
 
Back
Top Bottom