Never, never, Faiza hajawahi kuwa kwenye kundi la watu wenye hekima!Achana na mimi ng'ang'ana na mada. Ukitaka kunijadili mimi njoo hapa: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa - JamiiForums
Never, never, Faiza hajawahi kuwa kwenye kundi la watu wenye hekima!Achana na mimi ng'ang'ana na mada. Ukitaka kunijadili mimi njoo hapa: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa - JamiiForums
Teh teh teh huyo mtu ni Raia wa kawaida au kiongozi?Kujifanya huumwi hakuzuii ugonjwa kukuondoa duniani. Mtu mmoja mpumbavu aliwahi kusema Dar es Salaam hakuna shida ya maji. Alipoulizwa anaishi wapi, bila kushughulisha akili yake akajibu MIKOCHENI
Pasipo na moto hapana moshi.
Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.
Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?
Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?
Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Ndio maana kuna joto kali hasa Dar, kumbe ni moshi tu, naona ni (TZ) global worming
Kipindi sisi tunauona huu Moshi kwa mara ya kwanza yeye alikuwa kafunikwa na blanket la chama badala la Utaifa.Bibi kweli umezeeka ,huu moshi mbona wenzio tulianza kuusikia harufu yake tangu Novemba 5/2015 na sasa moshi umeongezeka.Jambo la ajabu hapo ni kwamba huu moto uanafukuta kwa miaka 3 sasa ni moto wa aiana gani!Pole sana bibi naona machozi ya kutoka kwa huu moshi
Ya Kenya haifuki ni miripuko na huko moto haujajificha. Wapo vitani na Wasomali. Kazi kwao.Mbona sijaona moshi Tanzania, ila jana ndio niliona moshi + moto, na mlipuko mkubwa Nairobi, ktk hotel ya kifahari ya Dusit, inasemekana Al Shabab wanahusika...
Inahitaji uelewa mpana sana kukuelewa, ila nimekusomaMimi huku kitaa sioni kabisa kinachoendana na yanayosemwa humu JF!
Nachoona huku kitaa ni watu wanaopambana na hali zao kila siku.
View attachment 995985
Katika hili wanaendelea na msimamo wao. Zaidi, na inasikitisha, yeye anaendelea kwa baraka zoteLa CAG niliona moto uliwashwa siku aliyoteuliwa Ndalichako kuwa waziri wa elimu. Mtu ambae Waislam walimkataa kwa maandamano alipowadhulumu alipokuwa mkubwa wa mitihani.
HahaaWaliopiga kelele mliwaona wehu leo mmeshikwa pabaya mnaanza kulialia
Hahaa haa haaa daah jf bwanaKujifanya huumwi hakuzuii ugonjwa kukuondoa duniani. Mtu mmoja mpumbavu aliwahi kusema Dar es Salaam hakuna shida ya maji. Alipoulizwa anaishi wapi, bila kushughulisha akili yake akajibu MIKOCHENI
Hahaa hawataki alipasue hilo yai vizaBila shaka! Report yake ya ukaguzi wa mahesabu ya mwaka 2017/2018 iko due mwezi April halaf wanamchachafya ili ajiuzulu sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi hata anayekaa kwa shemeji yake Masaki atajifanya hazijui shida walizonazo walio wengi. Kwani hata huu wimbo wa 'mjiajiri, mjiajiri' unapoimbwa kwenye majukwaa na wanasiasa, waitikia pambio unadhani wao wamejiajiri...la hasha! Wameajiriwa kwa msaada wa shemeji na sasa wamevimbiwa kiasi hata aliyesomea uhakimu wanamuita mzembe hajajiajiri
Ya Lisu yanamsubiri! Mungu muepushe CAG
Walala hoi Vs BungeCAG vs BUNGE! nauona moshi unatoka moto hauonekani
Kuna chombo ni zaif!Pasipo na moto hapana moshi.
Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.
Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?
Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?
Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Huo sio ni ukunguYa Kenya haifuki ni miripuko na huko moto haujajificha. Wapo vitani na Wasomali. Kazi kwao.
Kwetu hapa ndiyo kuna moshi lakini moto umejificha.